Freightliner
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 720
- 522
Naombeni kuuliza kwa wajuzi na wasafiri ni gharama kiasi gani cha nauli toka hapa Tanzania mpaka China?
Shukrani::
Shukrani::
Ina depend na usafiri unaotaka kutumianaombeni kuuliza kwa wajuzi na wasafiri ni gharama kiasi gani cha nauli toka hapa Tanzania mpaka China..
shukrani::
niambie ule wa mzungu...nipate kujuaIna depend na usafiri unaotaka kutumia
Kuna ule wa sumbawanga then kuna ule wa mzungu ...
Kwa Guta,Bdbd,Bajaji,au kwa ndege.?Naombeni kuuliza kwa wajuzi na wasafiri ni gharama kiasi gani cha nauli toka hapa Tanzania mpaka China?
Shukrani::
we ni mtu mzima aisee,,Kwa
Kwa Guta,Bdbd,Bajaji,au kwa ndege.?
yenye wanyama wanyama nnayoKakate passport gharama utazijua mbele ya safari
wazazi tuna hasara, eti na hili wanajivunia wana mtoto!Kwa
Kwa Guta,Bdbd,Bajaji,au kwa ndege.?
Huu upumbavu unazidi kushamili Sana humu jukwaani.Kwa
Kwa Guta,Bdbd,Bajaji,au kwa ndege.?
Samahani kidogo,ivi mfano ukiingia online kwenye mashirika ya ndege haya,huwez kupata ABC kuhusu nauli?Naombeni kuuliza kwa wajuzi na wasafiri ni gharama kiasi gani cha nauli toka hapa Tanzania mpaka China?
Shukrani::
Unaweza kupata Abcd, ila unaweza ukapata shida kujua ipi ni cheap,Samahani kidogo,ivi mfano ukiingia online kwenye mashirika ya ndege haya,huwez kupata ABC kuhusu nauli?
Ndo Kazi ya online,Ina majibu yote hata ambayo ujaulizaSamahani kidogo,ivi mfano ukiingia online kwenye mashirika ya ndege haya,huwez kupata ABC kuhusu nauli?
Form six wanasubiria matokeo mkuuwazazi tuna hasara, eti na hili wanajivunia wana mtoto!
Ngoja nikupe namba ya jamaa wa boltNaombeni kuuliza kwa wajuzi na wasafiri ni gharama kiasi gani cha nauli toka hapa Tanzania mpaka China?
Shukrani::