Msaada Nataka Kwenda kutafuta maisha nchi za Ulaya

Huu ndio ukweli ulaya kila kitu kimeshafanywa hakuna kipya utakachofanya ulaya, wamefikia kikomo. Kama ni miji ishajengwa zamani. Miundombinu washamaliza kujenga. Unaenda kufanya nini? Africa is the new Market place.

Ulaya Kazi ya uhakika ni kuwa Bartender (barmaid), Waiter, watchmen, ambapo huwezi kusave chochote. Hautakuwa na tofauti na walio bongo na si ajabu ukaogopa hata kurudi home coz utakuta wenzio wamekupiga gap na wewe wa ulaya umebakiza mapafyumu tu ya ulaya.
Hizo kazi huko zinalipa kuliko Waziri anavyolipwa Tanzania.
 
Huu ndio ukweli ulaya kila kitu kimeshafanywa hakuna kipya utakachofanya ulaya, wamefikia kikomo. Kama ni miji ishajengwa zamani. Miundombinu washamaliza kujenga. Unaenda kufanya nini? Africa is the new Market place.

Ulaya Kazi ya uhakika ni kuwa Bartender (barmaid), Waiter, watchmen, ambapo huwezi kusave chochote. Hautakuwa na tofauti na walio bongo na si ajabu ukaogopa hata kurudi home coz utakuta wenzio wamekupiga gap na wewe wa ulaya umebakiza mapafyumu tu ya ulaya.
Jidanganye.. Wazungu wanafanya research sana kuimprove vyao.. Sasa kama kila kitu kimafanywa Airbus imejengwa china au.. Acheni kuchukulia poa ulaya tena unaonekana hata Kenya hujafika au dar tuu hujakanyaga
 
Mkubwa ulaya ilikuwa zamani, siku hizi kumechacha. Waarabu wa Syria, Yemen, Libya, Iraq, Afghanistan, Nigeria, Ethiopia, Eritrea wamejaa na kwa muda huu wengi wanatafuta hata nauli ya kurudi tu makwao hawaipati. Hela na maisha yamekuwa magumu sana ulaya.

Ukitaka nchi ya kutafuta hela nenda Australia, Canada, New Zealand ambapo kupata visa zao nao ni kimbembe kingine kama mtu wa ulaya hapati visa za hizi nchi kirahisi vipi wewe Mmtamumbi mjukuu wa Chifu mangungo wa msovero? Ni rahisi kugombea ubunge na kuupata kuliko kupata resident permit ya Australia.

Ni kweli kabisa yote ulosema.

Lakini kama anazo fani (skills) wanazohitaji huko Australia, New Zealand na Canada basi ana kila sababu ya kujaribu kwenda huko kutafuta maisha.
 
Shukrani mkuu unamaanisha kwenda kuishi uganda na kufanya biashara au kufanya biashara kat ya UG vs TZ
hapo ni kwenda Uganda aisee, ule mtaji wa kuendea Ulaya ndo uutumie kama mtaji wa biashara. Kwenda Uganda manake una mtaji, ila tz na Uganda connections tu. Kwa hali ya sasa hivi tz na Uganda ni tight, kwasababu utahitaji kufuata utaratibu na ni mgumu kweli.
 
Niko apa Ngabu msaidie kijana uko aje USA baby

USA baby

7D40E329-B7FA-4919-A40F-C7D7A410C8E4.jpeg
D36286A9-B9AC-4DEF-8D70-281B71EE185D.jpeg
D914DF4D-A26D-46DF-951F-1EFA1F249249.jpeg
 
Wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nahitaj mwenye kujua njia na namna ambayo naweza kuitumia kwenda kutafuta maisha nchi yeyote iliyopo bara la ulaya. Njia ambayo kwa Mtanzania ni rahisi kwenda na kufanya mishe mishe maisha yaende. Mwenye uelewa naomba anisaidie kufahamu nchi ya kwenda na gharama za kuandaa mpaka kufika huko.
Shukran.

Zinatakiwa fani maalum (skills) katika nyanja mbalimbali.

Hivyo fanya utafiti kwenye nchi za Uingereza, Canada, na Australia uje kufahamu ni skills gani wanahitaji.

Kwani wewe umesomea fani gani?

Usiwaze tu kwenda Ughaibuni bila kuwaza kwanza kama unazo sifa za kwenda huko.

Kumbuka, kuzamia kulikuwa zamani na sio sasa.

Sanasana utaishia kufanya kazi za kipato cha chini na utaishia kulipa pango na kujikimu.
 
Hizo kazi huko zinalipa kuliko Waziri anavyolipwa Tanzania.
We bibi una wazimu, unaangalia income tu huangalii kabisa expenditure za majuu zikoje? Kwanza minimum wage ni dola 7 kwa saa in most countries.bado hujala, hujalala, hujavaa, hujapata demu, hujalipa makodi chungu mzima.
Ndio sababu hata Nyani Ngabu unamuona ana stress kila muda anataka kugombana na mtu sababu ya maisha ya ulaya. Very stressful and depressing kutokana na kipato kutoendana na uhalisia.
 
Zinatakiwa fani maalum (skills) katika nyanja mbalimbali.

Hivyo fanya utafiti kwenye nchi za Uingereza, Canada, na Australia uje kufahamu ni skills gani wanahitaji.

Kwani wewe umesomea fani gani?

Usiwaze tu kwenda Ughaibuni bila kuwaza kwanza kama unazo sifa za kwenda huko.

Kumbuka, kuzamia kulikuwa zamani na sio sasa.

Sanasana utaishia kufanya kazi za kipato cha chini na utaishia kulipa pango na kujikimu.
Vipi mkuu kama sisi wenye fani za umeme hivi?
 
Skills zinazohitajika Australia

1. Ufundi wa kulaza vigae majumbani na kwenya majengo kwa ustadi wa hali ya juu na wa kusomea.
2. Ufundi umeme wa kiwango cha juu yaani electrical engineer huku ukitumia computer kufanya michoro na kuifuata.
3. Uuguzi wa kuangalia watu wenye matatizo ya akili, yaani mental health.
4. Uuguzi wa kawaida
5. Radiographer
 
Vipi mkuu kama sisi wenye fani za umeme hivi?

Uwe na shahada ya electrical engineering.

Yaani uwe unachora michoro ya njia za umeme kwenye computer au kuweza kuifuata michoro ya client au main contractor.

Uweze kulaza nyaya wiring kwa kufuata michoro maalum na kutumia vyombo vya kisasa kama lesser na vingine bila kutetereka.

Uwe unazungumza, kuisoma na kuiandika kwa ufasaha lugha ya kiingereza.
 
Skills zinazohitajika Australia

1. Ufundi wa kulaza vigae majumbani na kwenya majengo kwa ustadi wa hali ya juu na wa kusomea.
2. Ufundi umeme wa kiwango cha juu yaani electrical engineer huku ukitumia computer kufanya michoro na kuifuata.
3. Uuguzi wa kuangalia watu wenye matatizo ya akili, yaani mental health.
4. Uuguzi wa kawaida
5. Radiographer
Kusafisha mashamba au kuendesha yale train truck
 
Back
Top Bottom