Nimepata kusikia kuwa gari aina ya Suzuki Swift ni gari nzuri sana kwa mtanzania wa ngazi ya kati(Middle Class) kwa matumizi binafsi katika mazingira ya mijini Kwa vigezo vya BEI NAFUU, MAFUTA KIDOGO, UIMARA, VIPURI VINAPATIKANA nk.
Wataalam wa mambo humu JF ninaomba maoni na ushauri wenu kabla ya kufanya maamuzi ya kununua, hususani ninataka kujui bei yake, utumiaji wake wa mafuta, ubora na udhaifu wake, aina ya gari mbadala wake nk.
Wataalam wa mambo humu JF ninaomba maoni na ushauri wenu kabla ya kufanya maamuzi ya kununua, hususani ninataka kujui bei yake, utumiaji wake wa mafuta, ubora na udhaifu wake, aina ya gari mbadala wake nk.