Msaada: Nataka kununua helcopter

Msaada: Nataka kununua helcopter

ngoja nkupm namba ya gwajima aka ze mshenga ana ekspiriensi ya kutosha.
 
Mkuu waone wanasiasa maana unawezapata sababu zilikuwepo nyingi sana kipindi cha kampeni
 
Kwenye Biblia Kuna Mstari Unasomeka "kipimo Utakachojipimia Ndicho Mungu Atakachokupimia."

Kiukweli Mimi Sina Gari Wala Baiskeli, Ila Kwa Sababu Ninajipimia Kuja Kumiliki Helcoper, naomba Msaada Wenu Wa Soko Zinapouzwa, gharama Zake In terms Of Dollars Na Aina Ipi Ni Bora.

Karibuni Kwa Maelekezo

Muone Gwajima atakupa utaratibu!
 
Nunua toka kampuni ya AirBus Helicopter ya Ufaransa..
 
Yaani jf bwana uwa napata raha Sana....yaani jamaa kanichekesha mpaka basi....eti anataka helkopiter...."baiskeli hauna hiyo helikopter anagani utaendeshaje"....nukuu ya pro jay wa mituringa
 
Kwenye Biblia Kuna Mstari Unasomeka "kipimo Utakachojipimia Ndicho Mungu Atakachokupimia."

Kiukweli Mimi Sina Gari Wala Baiskeli, Ila Kwa Sababu Ninajipimia Kuja Kumiliki Helcoper, naomba Msaada Wenu Wa Soko Zinapouzwa, gharama Zake In terms Of Dollars Na Aina Ipi Ni Bora.

Karibuni Kwa Maelekezo


JF inazidi kupoteza ubora wake kila kukicha..!!
 
Kwenye Biblia Kuna Mstari Unasomeka "kipimo Utakachojipimia Ndicho Mungu Atakachokupimia."

Kiukweli Mimi Sina Gari Wala Baiskeli, Ila Kwa Sababu Ninajipimia Kuja Kumiliki Helcoper, naomba Msaada Wenu Wa Soko Zinapouzwa, gharama Zake In terms Of Dollars Na Aina Ipi Ni Bora.

Karibuni Kwa Maelekezo

Mkuu unahitaji chopa ya kufanyia nini? Zipo za kila aina? Zipo zenye mitambo ya kufanyia kazi mbali mbali, zipo za kuvinjari tu hazina maloloso etc.
 
ubarikiwe mkuu kwa msaada wako,lakini samahani naweza mpataje huyo mzee?

Kama upon Moshi au Arusha njoo Keys Hotel au Keys Aviation utamkuta mkuu....Tena hii Dec krismasi atakuwa nyumbani njoo tuu utamkuta..
 
asante mkuu,mbowe naweza mpata pale ufipa ila unaweza nisaidia contact za msukuma

Msukuma hana helkopta ilikuwa ya Lowassa akanyanganywa wakati wa kampeni baada ya kuropoka maneno yasiyofaa!
 
Khaa!! chagga land ...Tuna ndoto sawa. Ila jan 1 2016 nitakuwa narusha my R22 shambani kwangu 😎.
 
Duuuuuu mawazo mengine😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom