Msaada: Nataka kununua helcopter

Msaada: Nataka kununua helcopter

chagga land

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
394
Reaction score
95
Kwenye Biblia Kuna Mstari Unasomeka "kipimo Utakachojipimia Ndicho Mungu Atakachokupimia."

Kiukweli Mimi Sina Gari Wala Baiskeli, Ila Kwa Sababu Ninajipimia Kuja Kumiliki Helcoper, naomba Msaada Wenu Wa Soko Zinapouzwa, gharama Zake In terms Of Dollars Na Aina Ipi Ni Bora.

Karibuni Kwa Maelekezo
 
mkuu unaweza ukanarrate in brief muda iliotumika,gharama zake na mahali ulipo tafadhali

kabla sijaendelea ngoja nikuulize kitu, je unayo leseni ya kuendeshea elicopter, pili leseni iko valid na umeipatia wapi,tatu mafunzo ya kuendeshea umeyapata chuo gani? nne una udhoefu wowote na hiki chombo?
 
kabla sijaendelea ngoja nikuulize kitu, je unayo leseni ya kuendeshea elicopter, pili leseni iko valid na umeipatia wapi,tatu mafunzo ya kuendeshea umeyapata chuo gani? nne una udhoefu wowote na hiki chombo?

asante mkuu kwa maswali yako mazuri,kiukweli sina ufaham na maswala ya udereva kuanzia baiskel hata gari au boda boda,mimi nadhani kwa sababu kuna wataalam waliosomea urubani nitamtafuta ili aweze kuniendesha.nadhani nimetoa majibu mazuri mkuu
 
asante mkuu kwa maswali yako mazuri,kiukweli sina ufaham na maswala ya udereva kuanzia baiskel hata gari au boda boda,mimi nadhani kwa sababu kuna wataalam waliosomea urubani nitamtafuta ili aweze kuniendesha.nadhani nimetoa majibu mazuri mkuu

mkuu inaonekana ujihamini kabisa, ngoja nikushauri kitu nenda uwaone wanasiasa uwa wanatumia sana chopa watakusaidia sawa
 
Back
Top Bottom