mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Uko sahihi, una haki ya kulalamika. Lakini utajizulia vita itskayokunyima usingizi na kukupa kero kubwa zaidi kuliko uliyonayo sasa. Nakushauri uwe mpole tu, vinginevyo hawa waswalaji watakusumbua sana. Unaweza pia kuhama hapo! Vita unayowaza kuianzisha itakutesa! Utatesa familia yako pamoja na kuwa una haki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app