Msaada: Nataka kuishitaki nyumba ya ibada iliyo jirani na nyumba yangu

Swali lako liko chini ya sheria ya madhara (tort). Kama maneno hayo yanakutia hofu basi kisheria tunaita (nervous shock). Pia, sharti mwenendo huo uwe umekuletea au unakuletea madhara, ambayo bila shaka, ni ukosefu wa usingizi mara baada ya kuwa na nervous shock. Hivyo mashtaka yako yatakuwa dhidi ya bodi ya wadhamini (board of trustees) au taasisi hiyo na wala si yule asemaye maneno hayo. VITU VYA KUTHIBITISHA NI MANENO HAYO YANAKUPA NERVOUS SHOCK NA KWA SABABU HIYO HUWEZI KUPATA USINGIZI TENA.

Sent from iPhone 9
 
Ushauri wangu :
1. Nyumba ya ibada haishtakiwi, hayo maneno ambayo wewe yanakuogofya wenye nyumba yao wanayaelewa na kuwafanya wajue wajibu wao.
2. Kwa kuwa wewe mwenyewe ni illegal migrant, nenda kwenu waachie nyumba yao ya ibada na mambo yao.
3. Kajenge Kibiti mbali na hiyo nyumba ya ibada.

Sitakagi ujinga Mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi nyumba za ibada kwenye maeneo ya makazi ni mtihani kweli kweli.

Jana jpili nimemtembelea jamaa yangu anaishi jirani na Kanisa dogo tu la mbao, cha ajabu umeme wanachukulia kwake, hiyo kelele hapo sebuleni tulikuwa tunaipata fresh....nikaenda kuchungulia Waumini hawafiki hata kumi na tano.

Nikamuuliza hii hali ni mpaka saa ngapi? akaniambia saa nane, na saa hizo ndio kwanza saa tano asubuhi.
 
Swali lako liko chini ya sheria ya madhara (tort). Kama maneno hayo yanakutia hofu basi kisheria tunaita (nervous shock). Pia, sharti mwenendo huo uwe umekuletea au unakuletea madhara, ambayo bila shaka, ni ukosefu wa usingizi mara baada ya kuwa na nervous shock. Hivyo mashtaka yako yatakuwa dhidi ya bodi ya wadhamini (board of trustees) au taasisi hiyo na wala si yule asemaye maneno hayo. VITU VYA KUTHIBITISHA NI MANENO HAYO YANAKUPA NERVOUS SHOCK NA KWA SABABU HIYO HUWEZI KUPATA USINGIZI TENA.

Sent from iPhone 9
Hofu ya nini huyo??...ama kweli nimeamini wengine wanakuwa miili tu but akili ni za kitoto...teh teh..wampa hamasa ya kwenda kushtaki..akifanikiwa kuyaondoa hayo maneno ya kuwaita waumini kwenda kufanya ibada..basi atuletee mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu binafsi naona kero Yako ina unafuu.

Maana hapa nilipo nafikilia jinsi ya kupata usingiz home maana Leo sina hata pesa ya kununulia Banana.
Kuna walokole wamepangisha jumba lililokuwa Bar zaman ni shiiida.

Spika volume ya juu nyimbo za Rose Muhando si unazijua kelele zake mdundo mpaka SAA 4.
Asubuhi kila siku kabla ya adhana wanatuamsha na makelele ya kukemea shetan.

Ijumaa kuamkia Jumamosi saa4 usiku mpaka asubuhi SAA moja.

UKIPATA MSAADA WA KISHERIA TAFADHARI nitaTAG.

Uhuru wa kuabudu huu sijui hauna mipaka.
 
Hizi nyumba za ibada kwenye maeneo ya makazi ni mtihani kweli kweli.

Jana jpili nimemtembelea jamaa yangu anaishi jirani na Kanisa dogo tu la mbao, cha ajabu umeme wanachukulia kwake, hiyo kelele hapo sebuleni tulikuwa tunaipata fresh....nikaenda kuchungulia Waumini hawafiki hata kumi na tano.

Nikamuuliza hii hali ni mpaka saa ngapi? akaniambia saa nane, na saa hizo ndio kwanza saa tano asubuhi.
 
Mimi ni mwislamu lakini kuamsha watu kwa kelele hususani saa kumu usiku ilhali sala inasaliwa saa 11 si jambo zuri,hapa mtaani pia kuna jamaa alikuwa na mtindo huo tukamkataza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We Ni mpumbav.u kweli kweli,yani unakumbushwa kumcha mola wako wa kweli wewe unachukia?najua ingekua disco na watu wanacheza uchi ungeenda kujiunga nao...!
 
Hakuna mwislam anayeita Adhana ni kelele,wewe ni mpumbav.u kama wapumbav.u wenzio tu...!
Kwani nani kazungumzia adhana?,kinacholalamikiwa hapa ni kuamsha watu saa kumi kasoro na maneno ya kitanda ndo jeneza lako ilhali sala inasaliwa saa 11 asubuhi,anaongea dakika kumi nzima tena kwa loud speaker,sasa kama mimi ni mpumbavu basi na wale mashehe waliompiga jamaa stopu nao utawaitaje.alafu tabia kukurupuka na kutukanana sio sifa ya waislamu,mie pia najua matusi tena pengine kuliko wewe so jiheshimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom