salthanks
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 3,284
- 6,845
Thread nyingine za kipuuzi kabisa...sasa ndo mmekuja kushtaki JF??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sizungumzii kelele ndio maana sijataja night clubs nazungumzia maneno ya kutishaHiyo ni alfajiri na sio usiku....na sisi hatujalalamika kuhusu kelele za matarumbeta na kwaya kwahiyo mezea tu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu namtetea mleta mada wapo wahadhini wengine wanafuata taratibu hiyo unayosema .. ila wapo kweli wanatoa maneno ya vitisho...Acha choko zako Wewwee..hizi update umezitunga mwenyewe....adhana ni mbili na maneno hayo yanasemwa kila baada ya adhana...nyinyi mmejenga chuki juu ya uislamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe na uanaume wako ndo unatishika na maneno hayo....pole sana...hapa duniani tunapita tu kwahiyo usione ajabu kutajiwa KIFO,JENEZA,SANDA n.k....tunakumbushiwa kuwa tutakufa kwahiyo mezea tu au kama vipi uhamie mbali na msikitiSizungumzii kelele ndio maana sijataja night clubs nazungumzia maneno ya kutisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno ya vitisho yapi ambayo serikali inayasikia miaka mingi na haikuchukua hatua??...jibu ni kuwa yanayosemwa ni haki na ndio maana mpaka leo yanaendelea na yataendelea...KIFO NI HAKImkuu namtetea mleta mada wapo wahadhini wengine wanafuata taratibu hiyo unayosema .. ila wapo kweli wanatoa maneno ya vitisho...
kwa mantiki yako hiyo upo sahihi mkuu... kwa heriManeno ya vitisho yapi ambayo serikali inayasikia miaka mingi na haikuchukua hatua??...jibu ni kuwa yanayosemwa ni haki na ndio maana mpaka leo yanaendelea na yataendelea...KIFO NI HAKI
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili suala ni moja ya kitu ninacho consider pindi nikitaka kuhamia makazi mapya, hata kama nyumba ni nzuri niko radhi niikose
Yes or No
Wanadhania tutawanyamaziaNI sawa kabisa, kuna familia moja ilikuwa inatafuta nyumba, wakapata nyumba nzuri tatizo ikawa hakuna masjid karibu na pale, ikabidi aiachie atafute eneo ambalo kuna masjid karibu ili akumbushwe kuwa ipo siku atakufa! uoga hausaidii PAMBANA NA HALI YAKO! inaonekana wewe ni wa VIJIJIVI tena vya huko BARRAH! MWarabu aliita BARRAH! nje! NDIO MAANA UKAJIITA ILLEGAL IMMIGRANT! kama upo Dar tafadhali rudi ulipotoka! tuachie mji wetu
Kutolalamika kwenu hakufanyi wengine wasilalamike.... Jaribu kutumia common sense basi na si ubinafsi.Hiyo ni alfajiri na sio usiku....na sisi hatujalalamika kuhusu kelele za matarumbeta na kwaya kwahiyo mezea tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndivyo mnavyofundishwa hivyo na waharamia wenzako...Acha choko zako Wewwee..hizi update umezitunga mwenyewe....adhana ni mbili na maneno hayo yanasemwa kila baada ya adhana...nyinyi mmejenga chuki juu ya uislamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mkashitaki kwani kuna aliyemizuia??common sense kama mwaijua msingeleta mashitaka yenu humu JF....sana sana mnapoteza timeKutolalamika kwenu hakufanyi wengine wasilalamike.... Jaribu kutumia common sense basi na si ubinafsi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waharamia wanafundishaga matarumbetaNdivyo mnavyofundishwa hivyo na waharamia wenzako...
Sitakujibu kwa kukutukana katu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo sio mashitaka ni uhuru wa mtoa mada kusema kinachomfurahisha, kinachomkera n.k. ni haki yako pia.Si mkashitaki kwani kuna aliyemizuia??common sense kama mwaijua msingeleta mashitaka yenu humu JF....sana sana mnapoteza time
Sent using Jamii Forums mobile app
But complaining here will only cauce friction between us..so it was just easier for him to take his complains to the section responsible for this issue than starting a thread complaining about religious issues....he would find another way of getting an advice and not here....Remember that JF's members are not only christians and pagans...even Muslims we're hereHayo sio mashitaka ni uhuru wa mtoa mada kusema kinachomfurahisha, kinachomkera n.k. ni haki yako pia.
We also discuss what is right and wrong...
Hii sio sehemu ya mashitaka ni sehemu ya kujadili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me nawashangaa wanaochukia dini za wengine...tena kaja na gea ya kuishitaki nyumba ya ibada....hivi ni busara hiyo??njoo uishi kinondoni biafra maarufu kama kanisani uburudishwe na magitaa na matarumbeta usiku kucha 24/7..hilo kanisa lina vikundi vya kuimba vya wiki nzima nadhani manake ni kila siku usiku kucha alafu vyombo vyao vya kisasa gitaa unalisikia chini ya uvungu ile base inavuta pillow..karibu sana!