Habari wana jukwaa
Nina partiner wangu yupo Japan anaishi south Africa ni car dealer....ameniambia nisajili custom bond ware house na kampuni commission agent company.amedai nikifanya hivyo atakuwa ananipa mzigo wa magari niwe namuuzia kwa commission.
Kupitia hili ndugu zangu wana jukwaa naomba mnisaidie umuhim na maana ya hivi vitu....
Nina partiner wangu yupo Japan anaishi south Africa ni car dealer....ameniambia nisajili custom bond ware house na kampuni commission agent company.amedai nikifanya hivyo atakuwa ananipa mzigo wa magari niwe namuuzia kwa commission.
Kupitia hili ndugu zangu wana jukwaa naomba mnisaidie umuhim na maana ya hivi vitu....
bond ware house
commission agent company
vigezo ma taratibu za kupata bond ware house na ni office gan inatakiwa nifwatilie