Msaada - natafuta Dawa ya mafua ya kuku

Msaada - natafuta Dawa ya mafua ya kuku

Hassanjk

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2023
Posts
550
Reaction score
1,019
Naombeni uzoefu kwa wafugaji wa Broiler
Nimekuwa nafuga wa hao kuku ILA tatizo kubwa ninalo pambana nalo ni mafua
Huwa na tumia, matandazo ya Pumba za mpunga na chakula rasmi cha Interchik
 
Tumia mimea tu, jima nmesahau inamajani manene yenye miba nyngine znkuwa na muonekano kama katani pembeni inkuwa na miba miba, chukua Jani Moja pondaponda Kisha loweka kwa masaa 12 Kisha wapelekee kuku
 
Tumia mimea tu, jima nmesahau inamajani manene yenye miba nyngine znkuwa na muonekano kama katani pembeni inkuwa na miba miba, chukua Jani Moja pondaponda Kisha loweka kwa masaa 12 Kisha wapelekee kuku
Unamaanisha Alovera?
 
Naombeni uzoefu kwa wafugaji wa Broiler
Nimekuwa nafuga wa hao kuku ILA tatizo kubwa ninalo pambana nalo ni mafua
Huwa na tumia, matandazo ya Pumba za mpunga na chakula rasmi cha Interchik
Banda lako lina mzunguko wa hewa wa kutosha mkuu?
Tupe picha...hata kwa maneno.
Kutoka msingi hadi uwazi wa dirisha n cm ngapi( tupimie na tape measure)
  • Badiri tandazo( ama tafuta masalia ya mpunga ya zamani ( yasixo na vumbi) au randa isiyoumiza( nusa, vuta pumzi uone kama itakupigisha chafya( usipopiga) hio inafaa TUMIA.
  • Kuku mnywa dawa kwa wingi hupozeza radha, jaribu kurekebisha mazingira kwanza.
 
kwa
Banda lako lina mzunguko wa hewa wa kutosha mkuu?
Tupe picha...hata kwa maneno.
Kutoka msingi hadi uwazi wa dirisha n cm ngapi( tupimie na tape measure)
  • Badiri tandazo( ama tafuta masalia ya mpunga ya zamani ( yasixo na vumbi) au randa isiyoumiza( nusa, vuta pumzi uone kama itakupigisha chafya( usipopiga) hio inafaa TUMIA.
  • Kuku mnywa dawa kwa wingi hupozeza radha, jaribu kurekebisha mazingira kwanza.

Kwa sababu za Usalama (vibaka), banda nimejenga kama nyumba ila ukuta wa mbele; nimejenga matofali matatu tu na nikaacha wazi hadi kwenye lenta na kwa nyuma kwenye ukuta nimeweka Luvas japo sio nyingi
Kuhusu pumba za mchele; umetaja hapo pumba za zamani, unamaanisha zilizokaa wastani wa muda gani mwezi/mbili/tatu?
Tukienda kwenye mshine za kukoboa mpunga tunachota tu mapumba ya mpunga, sasa nitajuaje yasiyo na vumbi?
Asante kwa ushauri wa maranda ya mbao, nitajaribu kufanya utafiti nione kama yanapatikana kwenye hili eneo,
 
kwa

Kwa sababu za Usalama (vibaka), banda nimejenga kama nyumba ila ukuta wa mbele; nimejenga matofali matatu tu na nikaacha wazi hadi kwenye lenta na kwa nyuma kwenye ukuta nimeweka Luvas japo sio nyingi
Kuhusu pumba za mchele; umetaja hapo pumba za zamani, unamaanisha zilizokaa wastani wa muda gani mwezi/mbili/tatu?
Tukienda kwenye mshine za kukoboa mpunga tunachota tu mapumba ya mpunga, sasa nitajuaje yasiyo na vumbi?
Asante kwa ushauri wa maranda ya mbao, nitajaribu kufanya utafiti nione kama yanapatikana kwenye hili eneo,
Zinatakiwa ziwe koz mbili tu(=50cm)...si tatu.
Kuhusu mapumba...nimekuelekeza...ufanye kipimo cha kuinusa na kuvuta pumzi ndani....ukipiga chafya inamaanisha pumba ina vumbi, IACHE.
 
kwa

Kwa sababu za Usalama (vibaka), banda nimejenga kama nyumba ila ukuta wa mbele; nimejenga matofali matatu tu na nikaacha wazi hadi kwenye lenta na kwa nyuma kwenye ukuta nimeweka Luvas japo sio nyingi
Kuhusu pumba za mchele; umetaja hapo pumba za zamani, unamaanisha zilizokaa wastani wa muda gani mwezi/mbili/tatu?
Tukienda kwenye mshine za kukoboa mpunga tunachota tu mapumba ya mpunga, sasa nitajuaje yasiyo na vumbi?
Asante kwa ushauri wa maranda ya mbao, nitajaribu kufanya utafiti nione kama yanapatikana kwenye hili eneo,
IMG_20231008_131509.jpg

Angalia kielezo hiki: Fata hio urefu wa 0.5 Mita...ni sawa na tofari mbili lazwa katika kuta.
Course tatu ya tofari n parefu....kuku hapati hewa safi ya kutosha.
 
Tumia mimea tu, jima nmesahau inamajani manene yenye miba nyngine znkuwa na muonekano kama katani pembeni inkuwa na miba miba, chukua Jani Moja pondaponda Kisha loweka kwa masaa 12 Kisha wapelekee kuku
Nadhani una maanisha Aloevela
 
Tumia mimea tu, jima nmesahau inamajani manene yenye miba nyngine znkuwa na muonekano kama katani pembeni inkuwa na miba miba, chukua Jani Moja pondaponda Kisha loweka kwa masaa 12 Kisha wapelekee kuku
wanaita MTAKALANYONGO, wasukuma wanaita SANYENGE
 
Back
Top Bottom