MSAADA: Nashindwa ku-log in kwenye akaunti ya HESLB

Punguza wenge badilii na passwrd check na device yako l.mchawi ni wewe mwenyewe wala sio heslb
Kwani nimie pekee tu? Wengi account hazifunguki. Kwaio wote hatujui password?? Hii hata wakati wa admission za chuo ilikuwa ikitokea. Punguza pressure Mkuu
 
Back
Top Bottom