MSAADA: NAOMBENI KUFAHAMU FAIDA ZA KU-HOST BLOG DOMAIN

Hussein J Mahenga

JF-Expert Member
Mar 5, 2012
745
633
Wadau,
Nimefungua blog hivi punde, sasa kumekuwa na kitu hiki cha ku-host blog domain ili kuwa katika mfumo wa world wide web, sasa bado sijajua nini faida zake na gharama zake.


Nawasilisha
 
Hii kitu sio lazima uhost unaweza kununua domain na kuidirect kwenye blog yako mfano hii hapa www.bongonewstz.com , faida ni kwamba blog yako inakuwa unique.
 
Back
Top Bottom