Mjumbe wa mtaa kaniletea barua ya wito naitajika kwa afisa mtendaji.
Barua imeandikwa naitajika kwa 7bu ya kutolipa ela ya takaa
Nimeshindwa kujua kwanza mm ni mtumish wa serikalini pia nipo single naishi mwenyewe nipo busy hata muda wa kushinda nyumbn sina mwez au wiki sirudi nyumbn kutokan na majukumu ya kazini
Na huyo mama ambaye ni mjumbe alinifata kama miez 5 nyuma kudai ela ya taka nikamjibu sina kwa sahv tumeonanae jana usiku badaa ya kutoka kazn
Nashindwa kuelewa kwann hadi hafikie hatua iyoo na sijaenda hadi muda huu
Nilimfata usiku nikamwambia kesho naenda kwenye semina ya siku 3 kikazi j3 ndio nitaenda
Kuna mambo madogo madogo ambayo ni utaratibu wa jamii jaribu kufata lipia hiyo hela epuka migogoro midogo midogo na jamii inayo kuzunguka, umeletewa barua ya wito nenda kasikilize umeitiwa nini weka hulka ya ubinafsi pembeni.
Kuna mambo madogo madogo ambayo ni utaratibu wa jamii jaribu kufata lipia hiyo hela epuka migogoro midogo midogo na jamii inayo kuzunguka, umeletewa barua ya wito nenda kasikilize umeitiwa nini weka hulka ya ubinafsi pembeni.