Simba Mwenda Pole
Member
- Mar 6, 2019
- 87
- 78
Habari zenu wakuu, nataka kuandika proposal ya kuomba mkopo benki, mkopo ni kwaajili ya kupata mtaji wa Kununulia mahindi ya kusaga kwa ajili ya biashara ya unga, kwani kiwanda kipo tayari kabisa, kilicho baki ni hayo mahindi,
Mwenye kuweza kuandika proposal za kuomba mikopo naomba anisaidie
Mwenye kuweza kuandika proposal za kuomba mikopo naomba anisaidie