Msaada: Naomba mbinu ya kutoa maji kwenye sikio

Msaada: Naomba mbinu ya kutoa maji kwenye sikio

Nenda kwenye dryer la saluni
Halafu waambie unataka kukausha nywele halafu watakuingiza kichwa kwenye dryer hakikisha hadi masikio yanaingia
Hapo ukitoka utakuwa umekauka vizuri tu
Sawa sawa
 
Janan nilikuwa naoga tangu juzi sikio langu limeingiaa majii nikitikisa kichwaa nayasikia ila hayatoki nimetumiaa mbinu zoteee dry nimeweka mafuta ya nazi nimeweka dawa ile ya matoke wap nimeziba pua hewa itoke wap nisaidieni maji yananikela sanaaa yaaan
 
Inamisha kichwa, upande wa sikio lenye maji uangalie chini halafu uanze kuruka ruka😊
Hii mbinu nami hunisaidia mara kwa mara.

Ila kunakipindi nilikaa nayo kwa miezi2, sikio likipinga ngoma, yakaja kuisha menyewe na hali ikatengemaa.
 
Back
Top Bottom