THE REPORT
Senior Member
- Jan 13, 2021
- 167
- 201
Habari za wakati huu wanajamvi!
Kama ambavyo maada inajieleza, nataka kujua taratibu za kupitia ili niweze kufanya kipimo cha DNA. Yeyote anayejua anijulishe tafadhali
Kama ambavyo maada inajieleza, nataka kujua taratibu za kupitia ili niweze kufanya kipimo cha DNA. Yeyote anayejua anijulishe tafadhali