Hassani Rusovu
New Member
- Feb 18, 2020
- 4
- 10
Habari za wakati huu wana Jamii
Kwa majina ninaitwa HASSAN IDDI HASSAN Mkazi wa Kigoma-Ujiji
Mimi ni kijana mwenye ndoto ya kufanya mageuzi katika matumizi ya nishati mbadala nikiwa na maana ya Green Energy, pamoja na usafi wa mazingira. Ambapo tutatumia taka (organic waste) kuweza kuzalisha Natural Gas (CNG) pamoja na Organic Fertilizer.
Nimeandaa project ila shida imekuja kwenye project funding bajeti yake inatake almost 6M Tsh, nimepata wadau wamenisuport 2,500,000/= bado kama 3,500,000/= hivyo naomba msaada wenu niweze kufanikisha hilii
nawepia unaweza kunisuport kwa kuchangia chochote ulichonacho. unaweza kuchangia kupitia
Airtel money 0695534017 HASSAN IDDI HASSAN
Au
NMB Account 51610029459 HASSANI IDDI HASSANI
Kuchangia ni chochote ulichonacho
Naombeni mnisaidie kushare pia
Asanteni
Kwa majina ninaitwa HASSAN IDDI HASSAN Mkazi wa Kigoma-Ujiji
Mimi ni kijana mwenye ndoto ya kufanya mageuzi katika matumizi ya nishati mbadala nikiwa na maana ya Green Energy, pamoja na usafi wa mazingira. Ambapo tutatumia taka (organic waste) kuweza kuzalisha Natural Gas (CNG) pamoja na Organic Fertilizer.
Nimeandaa project ila shida imekuja kwenye project funding bajeti yake inatake almost 6M Tsh, nimepata wadau wamenisuport 2,500,000/= bado kama 3,500,000/= hivyo naomba msaada wenu niweze kufanikisha hilii
nawepia unaweza kunisuport kwa kuchangia chochote ulichonacho. unaweza kuchangia kupitia
Airtel money 0695534017 HASSAN IDDI HASSAN
Au
NMB Account 51610029459 HASSANI IDDI HASSANI
Kuchangia ni chochote ulichonacho
Naombeni mnisaidie kushare pia
Asanteni