Katavi kwa Mizengwe Pinda, inaongoza, hata Sheikh mkuu anatokea huko !Naombeni msaada kwani kuna research ya kijamii naiandika.
Niliwahi kuishi Kondoa. Huu si mkoa ni wilaya lakini ina waislamu wengi kushinda mkoa wote wa Mbeya.
Hana lolote anawashwa tuu huyu ! Ni miongoni mwa visoi wanaotumia forum vibaya !Kafanye utafiti wako field siyo katika mtandao hautapata ukweli humu.
Mtwara,Tanga kote kuna bandari lakini!!Mikoa yenye umaskini sana! Ndiko waliko ndugu zetu waislam
Naombeni msaada kwani kuna research ya kijamii naiandika.
Bukoba na Musoma kuna bandari pia !Mtwara,Tanga kote kuna bandari lakini!!
Acheni Ushenzi, na wewe uliyeleta hili swali ni m****** hivyo hivyo. Mbo ya udini chuki zake zinakuwa kila cku kwa kupitia mitandao ya kijamii. Hivi wana JF tutajisikiaje cku tukaanza kuuana kama NIGERIA huku tukujua sisi ni wachochezi wa kwanza? Hakuna Mungu anaye hubiri chuki. Ukijiona unachuki dhidi ya dini nyingine jijue ww ni washetani, na wala humpiganii Mungu yeyote yule. Mtoa mada kama ulikuwa na nia ya kweli ungeuliza marafiki zako wakaribu wangekupa hayo majibu. Moderators mchukue hatua ya kufuta threads zote zenye element ya kueneza chuki za kidini. Tunachukulia poa lakini madhala yake ni makubwa. Nilikuwapo ndanda miaka kadhaa iliyopita wakati hozo movement za kidini zilipo anza na leo ninaona matokeo yake!.
Niliwahi kuishi Kondoa. Huu si mkoa ni wilaya lakini ina waislamu wengi kushinda mkoa wote wa Mbeya.
Kilumanjaro,Arusha, Bukoba, Mwanza na MbeyaNaombeni msaada kwani kuna research ya kijamii naiandika.
sie ni watu wamapambano na ndo maana huwa tujipanga safu ! We endelea na kejeli na wagala wenzio, !