Msaada: Naomba kujua hizi machine zina tatizo gani na umeme wa TANESCO na linarekebishikaje?

harder king

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
3,970
6,898
Habari za mida wakuu

Mm ni muuzaji wa hizi mashine za kichina za kukaushia nywele (HAIRDRYER ZA MKONONI) kipindi cha nyuma sikuwahi kupata usumbufu lakini miaka ya karibuni zimekuwa na tatizo kwenye huu umeme wa TANESCO.

Tatizo ni kwamba baadhi ya wateja niliowauzia wanadai zinakata umeme na umeme unakatia kwenye connector za juu kwenye nguzo kabisa na hapa bila TANESCO wenyewe kuja ndio umeme hupati tena.

Swali je tatizo lipo kwenye hiki kifaa au kwenye system ya TANESCO?

Na kama ni kwenye hiki kifaa mbona kipindi cha nyuma sikuwahi kusikia hili tatizo?

Wakuu kwa mwenye uelewa na haya mambo ya umeme anisaidie ili nisiwapoteze wateja wangu!

Kifaa chenyewe ndio hichi

1582902944538.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mida wakuu

Mm ni muuzaji wa hizi mashine za kichina za kukaushia nywele (HAIRDRYER ZA MKONONI) kipindi cha nyuma sikuwahi kupata usumbufu lakini miaka ya karibuni zimekua na tatizo kwenye huu umeme wa tanesco,,tatizo ni kwamba baadh ya wateja niliowauzia wanadai zinakata umeme na umeme unakatia kwenye conector za juu kwenye nguzo kabisa na hapa bila tanesco wenyewe kuja ndio umeme upati tena..

Swali je tatizo lipo kwenye hiki kifaa au kwenye system ya tanesco?

Na kama ni kwenye hiki kifaa mbona kipindi cha nyuma sikuwahi kusikia hili tatizo?


Wakuu kwa mwenye huelewa na haya mambo ya umeme anisaidie ili nisiwapoteze wateja wangu!

Kifaa chenyewe ndio hichiView attachment 1371720

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umelalamikiwa na wateja wengi na tatizo ni hilo hilo basi vifaa vyako vina shida. Kutokuwa na tatizo siku za nyuma siyo sababu ya kuyafanya leo kisiwe na tatizo. Vifaa vingi vya mchina ni fake na havina kiwango. Kuna vifaa vingine kama friji, heaters nk vinatumia umeme wa Tanesco mbona havileti shida. Hata dryer za mikononi zipo za aina nyingine. Je zinaleta shida kama hiyo?
 
Iwapo mita ya umeme ikiditect umeme unatumika bila neutral conection huwa inakata, wenyewe wanasema inaingia temper. So labda izo mashine ishu kwenye neutral connection.
 
Kama umelalamikiwa na wateja wengi na tatizo ni hilo hilo basi vifaa vyako vina shida. Kutokuwa na tatizo siku za nyuma siyo sababu ya kuyafanya leo kisiwe na tatizo. Vifaa vingi vya mchina ni fake na havina kiwango. Kuna vifaa vingine kama friji, heaters nk vinatumia umeme wa Tanesco mbona havileti shida. Hata dryer za mikononi zipo za aina nyingine. Je zinaleta shida kama hiyo?
Mkuu unaweza kunipa sababu ya hicho kifaa kukata umeme maana kifaa kama kifaa hakijawahi kuaribika na shida sio kukata umeme bali ni namna huo umeme unavyokata na unakokatikia je kina nn kinachokinzana na umeme wa tanesco?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umelalamikiwa na wateja wengi na tatizo ni hilo hilo basi vifaa vyako vina shida. Kutokuwa na tatizo siku za nyuma siyo sababu ya kuyafanya leo kisiwe na tatizo. Vifaa vingi vya mchina ni fake na havina kiwango. Kuna vifaa vingine kama friji, heaters nk vinatumia umeme wa Tanesco mbona havileti shida. Hata dryer za mikononi zipo za aina nyingine. Je zinaleta shida kama hiyo?
Pia mkuu sio wateja wote,kati ya wateja kumi mmoja anaweza kurudi kulalamika au asiwepo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mida wakuu

Mm ni muuzaji wa hizi mashine za kichina za kukaushia nywele (HAIRDRYER ZA MKONONI) kipindi cha nyuma sikuwahi kupata usumbufu lakini miaka ya karibuni zimekua na tatizo kwenye huu umeme wa tanesco,,tatizo ni kwamba baadh ya wateja niliowauzia wanadai zinakata umeme na umeme unakatia kwenye conector za juu kwenye nguzo kabisa na hapa bila tanesco wenyewe kuja ndio umeme upati tena..

Swali je tatizo lipo kwenye hiki kifaa au kwenye system ya tanesco?

Na kama ni kwenye hiki kifaa mbona kipindi cha nyuma sikuwahi kusikia hili tatizo?


Wakuu kwa mwenye huelewa na haya mambo ya umeme anisaidie ili nisiwapoteze wateja wangu!

Kifaa chenyewe ndio hichiView attachment 1371720

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi.
Meter za sasa za TANESCO ni very sensitive.
Hapa inakuwaje. Ni kwamba umeme unavyo tumika kwenye kifaa husika huwa kuna return ya current kwenye neutral wire kama mdau mmoja alivyosema hapo juu. Sasa kawaida Current inayoingia kwenye kifaa inatakiwa iwe sawa na inayotoka. Yaani current (mkondo wa umeme) kwenye live lazima uwe sawa na kwenye neutral. Kwahiyo kukiwa na tofauti kwaa maana kinachoingia ni kikubwa kuliko kinachotoka basi meter inahisi kuna wizi wa umeme (tempering). Na hiyo tofauti imekuwa calibrated kwenye meter mfano 0.5 Amps. Kwahiyo kukiwa na 0.5 Amps and above lazima meter ifunguke kwenye temper mode na ili ifungwe lazima wahusika wa generate clear temper tokens.
Kwahiyo meter zipo very accuracy na hivyo vifaa vinatengeneza tofauti ya current niliyokuambia.
Pia ukumbuke meter zinatofautiana na ndio maana wateja wengine huwaoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akisoma hapa ataelewa sana sana kwa wateja wenye mita zinazoanzia 2421..............,mi piah saloon kwa sister angu ilisumbua sana mwisho wa siku waliingiza token za kuongezea sensitivity mita ikawa aikati tena hadi sasa
Ni hivi.
Meter za sasa za TANESCO ni very sensitive.
Hapa inakuwaje. Ni kwamba umeme unavyo tumika kwenye kifaa husika huwa kuna return ya current kwenye neutral wire kama mdau mmoja alivyosema hapo juu. Sasa kawaida Current inayoingia kwenye kifaa inatakiwa iwe sawa na inayotoka. Yaani current (mkondo wa umeme) kwenye live lazima uwe sawa na kwenye neutral. Kwahiyo kukiwa na tofauti kwaa maana kinachoingia ni kikubwa kuliko kinachotoka basi meter inahisi kuna wizi wa umeme (tempering). Na hiyo tofauti imekuwa calibrated kwenye meter mfano 0.5 Amps. Kwahiyo kukiwa na 0.5 Amps and above lazima meter ifunguke kwenye temper mode na ili ifungwe lazima wahusika wa generate clear temper tokens.
Kwahiyo meter zipo very accuracy na hivyo vifaa vinatengeneza tofauti ya current niliyokuambia.
Pia ukumbuke meter zinatofautiana na ndio maana wateja wengine huwaoni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida itakuwa tanesco hiyo haina uwezo wa kuzima fuse ya tanesco na kama ingekuwa short fuse ya kwenye topplag ndio ingeungua.
Huenda umeme wa nyumba yenu kwa upande wa neturo kuna shida itakuwa haifanyi kazi au inarudisha moto imeungwa vibaya
Habari za mida wakuu

Mm ni muuzaji wa hizi mashine za kichina za kukaushia nywele (HAIRDRYER ZA MKONONI) kipindi cha nyuma sikuwahi kupata usumbufu lakini miaka ya karibuni zimekuwa na tatizo kwenye huu umeme wa TANESCO.

Tatizo ni kwamba baadhi ya wateja niliowauzia wanadai zinakata umeme na umeme unakatia kwenye connector za juu kwenye nguzo kabisa na hapa bila TANESCO wenyewe kuja ndio umeme hupati tena.

Swali je tatizo lipo kwenye hiki kifaa au kwenye system ya TANESCO?

Na kama ni kwenye hiki kifaa mbona kipindi cha nyuma sikuwahi kusikia hili tatizo?

Wakuu kwa mwenye uelewa na haya mambo ya umeme anisaidie ili nisiwapoteze wateja wangu!

Kifaa chenyewe ndio hichi

View attachment 1371720

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hivi.
Meter za sasa za TANESCO ni very sensitive.
Hapa inakuwaje. Ni kwamba umeme unavyo tumika kwenye kifaa husika huwa kuna return ya current kwenye neutral wire kama mdau mmoja alivyosema hapo juu. Sasa kawaida Current inayoingia kwenye kifaa inatakiwa iwe sawa na inayotoka. Yaani current (mkondo wa umeme) kwenye live lazima uwe sawa na kwenye neutral. Kwahiyo kukiwa na tofauti kwaa maana kinachoingia ni kikubwa kuliko kinachotoka basi meter inahisi kuna wizi wa umeme (tempering). Na hiyo tofauti imekuwa calibrated kwenye meter mfano 0.5 Amps. Kwahiyo kukiwa na 0.5 Amps and above lazima meter ifunguke kwenye temper mode na ili ifungwe lazima wahusika wa generate clear temper tokens.
Kwahiyo meter zipo very accuracy na hivyo vifaa vinatengeneza tofauti ya current niliyokuambia.
Pia ukumbuke meter zinatofautiana na ndio maana wateja wengine huwaoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akisoma hapa ataelewa sana sana kwa wateja wenye mita zinazoanzia 2421..............,mi piah saloon kwa sister angu ilisumbua sana mwisho wa siku waliingiza token za kuongezea sensitivity mita ikawa aikati tena hadi sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio waliongeza sensitivity bali wali disable na so hapo hakuna sensitivity tena. Kitu ambacho sio kizuri kwa mita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom