Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,379
- 8,848
Wakuu habari yenu,
Nimejaribu njia zote za kupata uhamisho wa mke wangu aje Dar es Salaam lakini sijafanikiwa kabisa, Niliambiwa anatakiwa amalize miaka miwili kazini..kamaliza zamani sana kaajiliwa 2015..barua nikaandika sana lakini sijafanikifa...wengine naona wanahama bila hata kutoa jasho sana.
Karibu PM kwa ANAEWEZA kunisaidia.
NB: Tukikubaliana kiasi cha pesa, malipo ni baada ya kukamilisha uhamisho nami nitakulipa cash hela yako yote.
Asanteni kwa kuelewa
Nimejaribu njia zote za kupata uhamisho wa mke wangu aje Dar es Salaam lakini sijafanikiwa kabisa, Niliambiwa anatakiwa amalize miaka miwili kazini..kamaliza zamani sana kaajiliwa 2015..barua nikaandika sana lakini sijafanikifa...wengine naona wanahama bila hata kutoa jasho sana.
Karibu PM kwa ANAEWEZA kunisaidia.
NB: Tukikubaliana kiasi cha pesa, malipo ni baada ya kukamilisha uhamisho nami nitakulipa cash hela yako yote.
Asanteni kwa kuelewa