Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,326
- 1,040
Tamaa mbele mauti nyuma
Kashahamia...kuna comment kasemaChunguza iyo campuni unayo hamia,je inamuda gani,mzunguko wake wa hela na vitu vingine ili uchekeche akilini mwako ulinganishe stability
Sasa ushajua mapungufu yako na ushajua wao hapo wanataka nini...why usi ji tune wanavyotaka? Si uwe sharp jamani..so unaogopa ogopa na uko kwny probation? Fanya kazi acha uoga..umesema umeshaingia so ushauri hapa ni kufanya kazi..dance accordingly acha uzembe..la sivyo utakuja kusema hapa sijapewa mkataba after brobation...
Kwanza, pongezi kwa kupata kazi mpya yenye mshahara mara mbili ya uliokuwa unapata! Kuingia katika nafasi mpya na yenye changamoto zaidi inaweza kukufanya kuwa na wasiwasi, lakini kuna njia za kukuwezesha kuwa bora na mfanisi. Hapa kuna ushauri wa kukusaidia:Habarini za humu wanajf, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27.
Nilikuwa na kazi katika taasisi moja hivi ya private sector amabapo nilikuwa napewa mshahara wa sh 1,000,000 kwa mwezi, katika harakati zangu za hapa na pale nikawa naomba kazi kwenye taasisi nyingine bahati nzuri nikapata, ambapo mshahara sasa ni mara mbili ya wa awali pamoja na marupurupu, ila naogopa na nina wasiwasi nitazingua kwasababu kazi hii mpya inahitaji umakini sana na kuwa sharp ambapo mimi huwa naona na mapungufu.
Msaada wadau on how to go about it, hela ninaitaka ila naogopa maana hapa probation yenyewe miez 9
Air traffic controller
Ndiyo na kazi apewe zile nyepesi nyepesi tena azifanye kwa muda anaotaka yeye 🤣🤣Kwahiyo bado anataka afuliwe,apasiwe,aamshwe!? 😂 😂 😂
Kwanza, pongezi kwa kupata kazi mpya yenye mshahara mara mbili ya uliokuwa unapata! Kuingia katika nafasi mpya na yenye changamoto zaidi inaweza kuwa na wasiwasi, lakini kuna njia za kukuwezesha kuwa bora na mfanisi. Hapa kuna ushauri wa kukusaidia:
Kumbuka, kila mtu anakabiliwa na wasiwasi anapoanza nafasi mpya. Kuchukua hatua hizi kutakusaidia kujenga msingi thabiti katika nafasi yako mpya na kukuwezesha kukabiliana na hofu yoyote uliyo nayo. Kila la kheri katika safari yako mpya ya kazi!
- Panga na Weka Malengo: Anza kwa kuweka malengo madogo ya kila siku au wiki ambayo yatakusaidia kufikia viwango vya utendaji vinavyotarajiwa. Malengo haya yanapaswa kuwa mahususi, yapimike, yanafikiwa, yanahusiana na kazi, na yana muda maalum (SMART).
- Tafuta Mafunzo na Ushauri: Usisite kutafuta mafunzo zaidi au ushauri kutoka kwa wenzako au viongozi katika taasisi yako mpya. Ujuzi na uzoefu wao unaweza kuwa rasilimali muhimu kwako.
- Jitoe kwa Kujifunza Kila Siku: Tumia muda kujifunza kuhusu sekta yako, mbinu mpya, na zana zinazohusiana na kazi yako. Ujuzi mpya utakusaidia kuongeza kujiamini kwako na umakini katika kazi.
- Jenga Uhusiano Mzuri na Wenzako: Kujenga mahusiano mazuri kazini kunaweza kukusaidia kupata msaada unapohitaji na kuongeza ufanisi wako katika timu.
- Fanya Mazoezi ya Kujiamini: Jiamini na ujikumbushe kuhusu mafanikio yako ya zamani na uwezo wako. Kujiamini kunaweza kukuwezesha kukabiliana na changamoto mpya kwa ujasiri zaidi.
- Usimamizi wa Muda: Tumia muda wako kwa hekima, panga kazi zako kulingana na vipaumbele, na usisite kusema "hapana" kwa majukumu ambayo yanaweza kusubiri au hayahusiani moja kwa moja na malengo yako ya msingi.
- Kuwa wazi kuhusu matatizo/changamoto kazini: Ikiwa unakabiliwa na changamoto, usisite kuomba msaada. Kuwa wazi kwa wanaokusimamia pamoja na unaofanya nao kazi kuhusu changamoto kunaweza kusaidia kupata suluhisho mapema.
Godwin peter
Acha ayaoneKashahamia...kuna comment kasema
Hahaha.... kwann mkuu?Hahahah mkuu,hiyo nisingeomba hata
Ukweli mchunguSasa ushajua mapungufu yako na ushajua wao hapo wanataka nini...why usi ji tune wanavyotaka? Si uwe sharp jamani..so unaogopa ogopa na uko kwny probation? Fanya kazi acha uoga..umesema umeshaingia so ushauri hapa ni kufanya kazi..dance accordingly acha uzembe..la sivyo utakuja kusema hapa sijapewa mkataba after brobation...
Na maendeleo makubwa ya haraka anayataka pumbafu kabisaNdiyo na kazi apewe zile nyepesi nyepesi tena azifanye kwa muda anaotaka yeye 🤣🤣
Good adviceKwenye kazi huwa hatuangalii mshahara tu ,bali tunaangalia mazingira ya kazi. Jinsi wanavyojali wafanyakazi pamoja na kubalance familia na kazi etc. Pia tunaangalia uwezekano wa kukua katika kazi, usiende tu kichwakichwa.