Msaada: Namna ya kutuma maombi NACTE

Matata25

Member
Feb 5, 2012
59
17
Habari za usiku ndugu zangu? Nahitaji msaada namana ya ku apply nacte vyuo vya afya. Nimejaza taarifa zote lakini hakuna kinachoendelea.
Hatua ya kwanza nimefungua ukurasa wa kujisajili na nikajaza taarifa zote. kama inavyoonekana kwenye screenshoot hapo chini.
Then ukurasa wa pili ulipofunguka umekuja unaomba username na password. Username najuwa ni Form Four Index number, je password hiyo naipataje? Maana sijatumiwa e-mail wala sms. Tafadhali naomba msaada kwa wenye uwelewa wa hii kitu. Kama nitapata procedures nitafurahi sana. Natanguliza shukrani nyingi.

Registration page 2.jpg


Registration page 3.jpg
 
Polee Sana ndugu,
Hilo tatizo ndilo nalopata hapa, nimejaza kila kitu page ya username na password inafeli maana Hakuna feedback kwenye email Wala sms za kawaida
 
Polee Sana ndugu,
Hilo tatizo ndilo nalopata hapa, nimejaza kila kitu page ya username na password inafeli maana Hakuna feedback kwenye email Wala sms za kawaida
Daah! Na mimi pia napata changamoto hiyo. Jamii forums ni kubwa sana tusubiri tutapata msaada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom