Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 314
- 410
Habari zenu wakuu
Nimepoteza simu yangu aina ya Samsung Galaxy note 9 nipo dar es salaam nimeenda polisi wananipiga kalenda toka juzi
Naomba wenye ujuzi namna ya trace hiyo simu kwa kutumia either email address au IMEI number anipe ujuzi au muongozo wa nn cha kufanya niweze kuikomboa simu yangu
NB; Tusaidiane kwa waliowahi pata simu zao zilizopotea wanipe maujuz wa namna zilivyopotekana na pia tusivunjane moyo jaman maisha tu haya
CHIEF MKWAWA donlucchese
Nimepoteza simu yangu aina ya Samsung Galaxy note 9 nipo dar es salaam nimeenda polisi wananipiga kalenda toka juzi
Naomba wenye ujuzi namna ya trace hiyo simu kwa kutumia either email address au IMEI number anipe ujuzi au muongozo wa nn cha kufanya niweze kuikomboa simu yangu
NB; Tusaidiane kwa waliowahi pata simu zao zilizopotea wanipe maujuz wa namna zilivyopotekana na pia tusivunjane moyo jaman maisha tu haya
CHIEF MKWAWA donlucchese