Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,459
- 699
Una umri gani? Mke gani usiyejua tarehe za hatari? Muulize kungwi au matron wako, au ingia googleWanajf mwezi January nilianza period tarehe 7,February tar 4 na march hii nimeanza leo tarehe 3 naomba msaada ni tarehe zipi naweza kupata mimba maana niko mbali na mume wangu tunataka tupate mtoto nataka aje cku za hatari ili mimba ipatikane.Naomba kuwasilisha.
bila shaka utakuwa mwalimu eti..

