Msaada namna ya kuondoa Ads kwenye browser kama chrome au mozzila

srinavas

JF-Expert Member
Jun 5, 2011
4,025
3,588
habari zenu waungwana ,

jamani mimi nimekuwa nikisumbuliwa sana na tatizo la Ads kwenye browser zangu (mozilla na Chrome) , yaani inafika wakati nashindwa hata kuona screen maana inakuwa imefichwa na hizi ads. au wakati mwingine ninaclick kitu mara inafungua mauchafu mengine au mapage mengine au new tabs

nimejaribu kutumia njia mbalimbali kama vile kutumia AdBlock , lakini naona ndio kwanza tatizo linazidi ,

naombeni mwenye msaada tafadhali maana hili tatizo linanisumbua na kunikera sana ,

Natanguliza shukrani za dhati

@Mwl.RCT

 
habari zenu waungwana ,

jamani mimi nimekuwa nikisumbuliwa sana na tatizo la Ads kwenye browser zangu (mozilla na Chrome) , yaani inafika wakati nashindwa hata kuona screen maana inakuwa imefichwa na hizi ads. au wakati mwingine ninaclick kitu mara inafungua mauchafu mengine au mapage mengine au new tabs

nimejaribu kutumia njia mbalimbali kama vile kutumia AdBlock , lakini naona ndio kwanza tatizo linazidi ,

naombeni mwenye msaada tafadhali maana hili tatizo linanisumbua na kunikera sana ,

Natanguliza shukrani za dhati

@Mwl.RCT

Download and run Malwarebytes Antimalware. Itafagia vi cookies vyote vya matangazo. Wanayo free version, inafanya kazi vizuri tu.
 
Labda PC yako ina viruses maana ADB inafanya kazi kwangu vizuri tu.
 
Download and run Malwarebytes Antimalware. Itafagia vi cookies vyote vya matangazo. Wanayo free version, inafanya kazi vizuri tu.
asante sana , ngoja nijaribu hapa , nione kazi yake
 
Labda PC yako ina viruses maana ADB inafanya kazi kwangu vizuri tu.
sasa kama ina virus nitumie njia gani ingine kupambana na hizo ads?? ndio maana nikaja kuomba msaada hapa
 
Hizo ni ads za kwenye sites unazotembelea....huko kustuck unakokuona zinatokana na scripts (poorly programmed) za hizo sites zinazochukua muda kumaliza, pamoja na slow connection, pia inawezekana simu yako ikawa na memory ndogo, as in RAM.

Huwezi zizuia kwa namna yoyote ile.

Solution rahisi ni kutumia browsers zisizo na Javascript kama Opera Mini pale unapovisit new sites au sites zinazosumbua ukitumia hizo browser nyingine. Note that unaweza kukosa some functionality.

By the way, mimi nimeongelea kwenye simu....tatizo lako hasa liko wapi? Kwenye PC ama simu?
 
habari zenu waungwana ,

jamani mimi nimekuwa nikisumbuliwa sana na tatizo la Ads kwenye browser zangu (mozilla na Chrome) , yaani inafika wakati nashindwa hata kuona screen maana inakuwa imefichwa na hizi ads. au wakati mwingine ninaclick kitu mara inafungua mauchafu mengine au mapage mengine au new tabs

nimejaribu kutumia njia mbalimbali kama vile kutumia AdBlock , lakini naona ndio kwanza tatizo linazidi ,

naombeni mwenye msaada tafadhali maana hili tatizo linanisumbua na kunikera sana ,

Natanguliza shukrani za dhati

@Mwl.RCT



Nenda kwenye Add/Remove programs Capture screen shot na iweke hapa then utapata solution. Weka screenshot za programs zote installed
 
Hizo ni ads za kwenye sites unazotembelea....huko kustuck unakokuona zinatokana na scripts (poorly programmed) za hizo sites zinazochukua muda kumaliza, pamoja na slow connection, pia inawezekana simu yako ikawa na memory ndogo, as in RAM.

Huwezi zizuia kwa namna yoyote ile.

Solution rahisi ni kutumia browsers zisizo na Javascript kama Opera Mini pale unapovisit new sites au sites zinazosumbua ukitumia hizo browser nyingine. Note that unaweza kukosa some functionality.

By the way, mimi nimeongelea kwenye simu....tatizo lako hasa liko wapi? Kwenye PC ama simu?
sio kwenye simu , ni kwenye browsers za PC yangu , na pia tatizo hili ni jipya kwangu ndio maana natafuta msaada , miaka ya nyuma sikuwahi kuwa nasumbuliwa sana na hizi ads.. maana hata hapa jamii forum nikiingia bado napatwa na ma ads kibao
 
Nenda kwenye Add/Remove programs Capture screen shot na iweke hapa then utapata solution. Weka screenshot za programs zote installed
naomba unielekeze namna ya kupata screenshot kwenye PC .,, nabonyeza wapi na wapi???
 
sio kwenye simu , ni kwenye browsers za PC yangu , na pia tatizo hili ni jipya kwangu ndio maana natafuta msaada , miaka ya nyuma sikuwahi kuwa nasumbuliwa sana na hizi ads.. maana hata hapa jamii forum nikiingia bado napatwa na ma ads kibao

Hizo ni ads za website husika all the same...na huko kufunguka kwa new tabs unaponavigate ni site husika imefanya hivyo. Huwezi kuizuia. Its their monetization strategy...

Angalia settings za browser zako kama kuna pop-up blocking options au kuzuia kufunguka new tabs...na sikushauri uweke ad-blocking software yoyote.

Pia, angalia toolbars na extensions ulizoenable kwenye browser zako, zinaweza kuwa part ya tatizo.
 
Hizo ni ads za website husika all the same...na huko kufunguka kwa new tabs unaponavigate ni site husika imefanya hivyo. Huwezi kuizuia. Its their monetization strategy...

Angalia settings za browser zako kama kuna pop-up blocking options au kuzuia kufunguka new tabs...na sikushauri uweke ad-blocking software yoyote.

Pia, angalia toolbars na extensions ulizoenable kwenye browser zako, zinaweza kuwa part ya tatizo.
Asante mkuu , ngoja nijaribu hapa , lakini pia unaonekana kuwa mtaalam , ngoja nikuulize swali moja hapa , hivi kwenye iphone 4 iliyoji lock na apple id inawezekana kui un lock??
 
Asante mkuu , ngoja nijaribu hapa , lakini pia unaonekana kuwa mtaalam , ngoja nikuulize swali moja hapa , hivi kwenye iphone 4 iliyoji lock na apple id inawezekana kui un lock??

Nilishawahi kusikia kitu kama hicho, lakini since you asked ngoja ni research. I will get back to you on this.
 
naomba unielekeze namna ya kupata screenshot kwenye PC .,, nabonyeza wapi na wapi???


Angalia kwenye keyboard utaona PRTSCN au unaweza kutumia SNIPPING tool, snipping tool ipo kwenye All programs,accessories
 
Back
Top Bottom