12 Marook
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 441
- 329
Wakuu kabla yayote niwasalimu kwanza, Habari zenu?
Baada yakusaliti vyama vyangu(CHAPUTA na CHAMATA) na kwa ushauri wenu wana JF, nimefaanikiwa kumrowa mtoto mkali na mpaka sasa tuna miezi miwili katika mahusiano yetu.
Tatizo langu inapofikia swala lakuomba match ya urafiki(mgegedo) domo linakuwa zito zaidi ya lile la Timbulo
Nawaombeni ushauri ili nami nipate kuonja kwenye tunda la Eden
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada yakusaliti vyama vyangu(CHAPUTA na CHAMATA) na kwa ushauri wenu wana JF, nimefaanikiwa kumrowa mtoto mkali na mpaka sasa tuna miezi miwili katika mahusiano yetu.
Tatizo langu inapofikia swala lakuomba match ya urafiki(mgegedo) domo linakuwa zito zaidi ya lile la Timbulo
Nawaombeni ushauri ili nami nipate kuonja kwenye tunda la Eden
Sent using Jamii Forums mobile app