Msaada: Namna ya kumuomba mwanamke tunda

Naomba tunda tamu. Kwani ugumu uko wapi?
😜😜😜

Wakuu kabla yayote niwasalimu kwanza, Habari zenu?

Baada yakusaliti vyama vyangu(CHAPUTA na CHAMATA) na kwa ushauri wenu wana JF, nimefaanikiwa kumrowa mtoto mkali na mpaka sasa tuna miezi miwili katika mahusiano yetu.

Tatizo langu inapofikia swala lakuomba match ya urafiki(mgegedo) domo linakuwa zito zaidi ya lile la Timbulo

Nawaombeni ushauri ili nami nipate kuonja kwenye tunda la Eden


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitumie namba za huyo demu mbona utamtafuna fasta tu.
We tuma huku ukijiandaa kwa Viagra maana utapiga game
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom