Hata mimi nina dada yangu (mdogo wangu) nilimlipia ada kubwa halafu amezungusha. Nilimnunulia vitabu vyote vinavyotakiwa lakini bado amefeli. Nilijaribu sana kumpa counciling na ushauri na mbinu za kusoma. Ila Tatizo la mabint walio wengi ni wavivu kusoma. Alikua akijua ndio narudi home ndipo huingia mezani na kusoma. Akijifungia chumbani anawasha taa, utadhani anasoma kumbe amelala. Sasa mtu kama huyu ukimbembeleza utakua umemsaidia au umefanya nini? Kikubwa ni kutokua mkali kupita kiasi, kwani unaweza kukatisha mtui tamaa na kufanya maamuzi mazito. Siku hizi watu hawaoni tatizio kupiga wanafamilia shoka, kumeza vidonge, sumu n.k. Ila kila Mtu amejaliwa kipaje chake. Mi nitakachomwambia, umefeli, tuliza akili alafu huko baadae useme fani yako ni nini? Ambayo itakuweka busy na kukuingizia kipato
mpeleke polisi
Mwambie
1. Ulijitahidi kadri ya uweza wako, mitihani ni kipimo cha uelewa wako katika masomo husika na ku fail hamaanishi wewe hukuelewa au kutokujua kabisa la hasha, ni kwamba jitihada kidogo inahitajika ili mambo yawe sawa wakati mwingine.
2. Wewe una bahati kufika form four, embu waza wangapi wameshindwa kulipa ada na kushindwa hata kufanya mitihani yao na kupata div 4/3? wangapi wagonjwa? etc.....
3. Mwambie unampenda sana uko nae bega kwa bega kuhakikisha kuwa ndoto yake inatimia
4. Toa mfano wa ndg au rafiki unayemjua ambaye alirudia shule mara kadhaa na akafanya vizuri darasani/kimaisha
5. Kubwa kuliko salini pamoja kwa imani ya dini yenu na kunukuu maneno matakatifu yatakayomtia moyo
Mh!..Mpe mfano wa mama Getrude Mongela, alipigwa mimba akiwa shuleni , lakini hakukata tamaa akasonga mbele, leo ni mtu miongoni mwa watu.
Mwambie
1. Ulijitahidi kadri ya uweza wako, mitihani ni kipimo cha uelewa wako katika masomo husika na ku fail hamaanishi wewe hukuelewa au kutokujua kabisa la hasha, ni kwamba jitihada kidogo inahitajika ili mambo yawe sawa wakati mwingine.
2. Wewe una bahati kufika form four, embu waza wangapi wameshindwa kulipa ada na kushindwa hata kufanya mitihani yao na kupata div 4/3? wangapi wagonjwa? etc.....
3. Mwambie unampenda sana uko nae bega kwa bega kuhakikisha kuwa ndoto yake inatimia
4. Toa mfano wa ndg au rafiki unayemjua ambaye alirudia shule mara kadhaa na akafanya vizuri darasani/kimaisha
5. Kubwa kuliko salini pamoja kwa imani ya dini yenu na kunukuu maneno matakatifu yatakayomtia moyo
kumfariji nini bwana...we kamchalaze bakora ili ajue kuwa umechukia...mtu kila siku ulikuwa unamwambia asome yeye anajifanya nyangema...halafu leo amefeli eti ukamfariji...ndio maana tunazidi kulea ujinga. kule china ukifanya ujinga wa hivyo wanakufunga kwenye kamba juu ya mti ili ujutie dhambi yako na siyo kuelezwa maneno matamu kama vile ulichofanya ni cha maana.....
Nashukuru sana Kwa Michango yenu yenye Kujenga na Kutia Moyo
tayari kijana mmoja ambaye alikuwa amerudia mitihani huko moshi amekunywa sumu na hali yake ni mbaya.
Mdogo wangu wa kike alifeli mwaka 2008, mwaka 2009 alibaki nyumbani na kujisomea kidogo, mwaka jana akarudi shule kufanya pepa tena. Matokeo ni mabove amepata d3 only. Cjui nimwambie nini na atafanya nini?
Mwambie
5. Kubwa kuliko salini pamoja kwa imani ya dini yenu na kunukuu maneno matakatifu yatakayomtia moyo