Huwa nnatumia simu katika kupata huduma,tatizo ni kuwa, kwa sasa na wakati mwingine picha zinazofunguka huwa ni ndogo sana kuweza hata kuzitambua,
na nyingi hazikubali kukuzwa,
naombeni msaada wa kurekebisha hilo, au tatizo ni maderator?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.