Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,761
kama unazo nyingine tuwekee mkuu!!Hiyo link imekufaa au unahitaji links zingine?
kama unazo nyingine tuwekee mkuu!!Hiyo link imekufaa au unahitaji links zingine?
Very helpful, i thank you so much!!! please kama una collection nyingine ya muundo huo (no fiction) share nasiBest book collection from Myles Munroe: Myles Munroe Collection (44 Books) (Epub & Mobi) | Myles Munroe | digital library bookzz
mbona naki-search sikipati?? umekipataje??Kaka nashukuru sana yaani nimepata vitabu kibao latest vya mwaka huu...hakika jamii forums kuna great thinkers....nitaanza na hiki kimeandikwa na mtumishi wa Mungu His Holiness Pope Francis...From Heaven and Earth.... Baadae nita ruka na Henry Kissinger...The White House years....
Pitia hizi link: Electronic library. Download books free. Finding booksVery helpful, i thank you so much!!! please kama una collection nyingine ya muundo huo (no fiction) share nasi
mkuu ntafurah kama ukikiattach hapa, huenda kikakidhi mahitaji yangu ya muda mfupi....japo natafuta sana hyo CIPSPurchasing and Supply Chain Management: Strategies and Realities
by Michael Quayle
Ninacho hicho mkuuu....
Asante
Kuna sites nyingine mkuu?kwanini pdf? unatumia kifaa gani? pdf nyingi zinazingua hasa ukitumia kifaa kidogo kama smartphone au tablet ndogo.
hizi link zitakusaidia
Index of /ebooks
Index of /mike/boek/E-books
hapa kuna maelfu kama sio mamilioni ya vitabu ila ni .mobi
Index of /books2
utahitaji ebook reader
hizo hapoKuna sites nyingine mkuu?
Wakuu niwashukuru sana kwa maujanja haya maana hata mm nikikuwa natamani kusoma vitabu hivi lakini nashindwa jinsi ya kuvipakua.Hauna haja ya ku-download PDF, download hii application inaitwa Icecrean eBook Reader hapa:
Download IceCream Ebook Reader Free 2.2 ML Torrent - Kickass Torrents
Then pita kwenye link hii upakue vitabu vikiwa kwenye format mbalimbali kama .mob, pdf, na epub, ila mimi napenda sana epub format.
Electronic library. Download books free. Finding books
Mkuu inaonekana wewe ni msomaji mzuri wa vitabu. Keep it up!Kaka nashukuru sana yaani nimepata vitabu kibao latest vya mwaka huu...hakika jamii forums kuna great thinkers....nitaanza na hiki kimeandikwa na mtumishi wa Mungu His Holiness Pope Francis...From Heaven and Earth.... Baadae nita ruka na Henry Kissinger...The White House years....
Yes Mkuu, keep reading.Wakuu niwashukuru sana kwa maujanja haya maana hata mm nikikuwa natamani kusoma vitabu hivi lakini nashindwa jinsi ya kuvipakua.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Asante wakuu kwa kuzidi kutumwagia hizi nondo.
Kweli kabisa mkuu...muda wa kusoma ni shida.Nitaanza kuweka malengo ya kusoma vitabu kwa idadi. Maana nadownload tu lakini kuvisoma ndio changamoto niliyonayo.
Sent from my MHA-AL00 using JamiiForums mobile app
Wakuu atakayeweza kupakua kitabu kinaitwa THE WRIGHT BROTHERS anisaidie jamani. Nakitafuta sana kitabu hiki...kinahusu ndugu wawili wa Marekani waliorusha ndege kwa mara ya kwanza, yaani Wilber Wright na kaka yake.mimi natafuta hiki kitabu "Purchasing and Supply Chain Management (Eighth Edition) - CIPS" Authors: Kenneth Lysons & Brian Farrington Chief-Mkwawa nakipataje hiki maana nimekisaka sana....msaada please!!!
Site za ku-download vitabu vilivyo kwenye format ya PDF free maana amazon vipo ila ni vya kulipia.
http://libgen.io/ads.php?md5=E149E0196515C194D118191FD71015FE io apo linkWakuu atakayeweza kupakua kitabu kinaitwa THE WRIGHT BROTHERS anisaidie jamani. Nakitafuta sana kitabu hiki...kinahusu ndugu wawili wa Marekani waliorusha ndege kwa mara ya kwanza, yaani Wilber Wright na kaka yake.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app