Msaada: Nakosa Usingizi.

Msaada: Nakosa Usingizi.

Don Mangi

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,199
Reaction score
855
Wakuu, I think i am turning isomniac, kwa siku I hardly sleep two hours halafu usingizi wenyewe ni wa ku beep beep. . .any help on that?
 
Kunywa Bier kwa wingi, utajikuta unalala hata bar hapo!!!!!!! Au nenda kwa wakorea kwenye clinic yao mwenge, watakutibia kwa njia za kwao huko!!!!!
 
Chunguza style yako ya maisha.Una hofu,unaumwa,kazi nyingi?wakati upo macho unawaza nini?ni vizuri pia ukamuona daktari.Usingizi ni muhimu sana.
 
Kunywa Bier kwa wingi, utajikuta unalala hata bar hapo!!!!!!! Au nenda kwa wakorea kwenye clinic yao mwenge, watakutibia kwa njia za kwao huko!!!!!

Sweet pie, hata nikinywa smirnof ngapi. . .bdo naona usingizi tabu.
For now niko huku Lindi, labda sijui ni hali ya hewa or what,
Au mawazo ya pesa mtoto wa kichagga mie kila siku nawaza opportunities za kupata ela. . .
 
acha kufikiri kupita kiasi kwa vitu vya kawaida, panga mambo yako katika ratiba nzuri na kila kitu ukifanye bila kuchanganya.

Kuna watu mpaka kula anakuwa anafikiri mambo mengi mpaka anakosa hamu ya kula.

Halafu fanya mazoezi kidogo mwili utachoka na utapata usingizi vizuri,
 
Chunguza style yako ya maisha.Una hofu,unaumwa,kazi nyingi?wakati upo macho unawaza nini?ni vizuri pia ukamuona daktari.Usingizi ni muhimu sana.

Everytime before bed hua nawaza sana mambo ambayo nataka kuyafanya. . .I think labda ndio yananinyima usingizi kweli.
 
acha kufikiri kupita kiasi kwa vitu vya kawaida, panga mambo yako katika ratiba nzuri na kila kitu ukifanye bila kuchanganya.

Kuna watu mpaka kula anakuwa anafikiri mambo mengi mpaka anakosa hamu ya kula.

Halafu fanya mazoezi kidogo mwili utachoka na utapata usingizi vizuri,

Yani kazi ninazozunguka nazo ni mazoezi tosha, sasa huku niliko hata hamu ya kula nayo imepungua sana yani. . .
 
Nyumba ina hewa ya kutosha?

usafi wa shuka?kitanda?
mwenzio msafi?
anakoroma koroma?

unakula na kushiba usiku?
 
Everytime before bed hua nawaza sana mambo ambayo nataka kuyafanya. . .I think labda ndio yananinyima usingizi kweli.

jaribu kupunguza hayo mawazo fanya yale unauwezo nayo mengine yanawakati wake usingizi muhimu
 
Nyumba ina hewa ya kutosha?

usafi wa shuka?kitanda?
mwenzio msafi?
anakoroma koroma?

unakula na kushiba usiku?

Yani walatini wanasema 'ceteris paribus' meaning all factors kept constant.. .
 
Wakuu, I think i am turning isomniac, kwa siku I hardly sleep two hours halafu usingizi wenyewe ni wa ku beep beep. . .any help on that?

Tylenol pm or advil pm .drink warm milk no tv in your room.make your room very comfortable and no coffee.dont drink tea 4 hours before you go to bed .nitakuin box kuhusu Tylenol pm kunamzigo wa duka an utuma next week nitakuambia wapi u pick up
 
mkuu una tatizo la msongo mawazo au stress kwa "kikoloni"
unatakiwa kuwa na positive thinking, kisha ufahamu jambo lialokupa stress ili siyo uepukane nalo, bali utafunte njia nzuri ya kulikabili
punguza goals or objectives, uwe na zile unazoamini kwa dhati kuwa unaweza kuzitimiza maana unaweza ukawa unawaza kununua hummer wakati hata vitz tatizo. fanya mazoezi, kula vizuri, na pata muda wa kutosha kupumzika. naposema kupumzika namaanisha kupumzika, wakoloni wanasema vacation, tafuta sehemu tulivu nenda kwa siku kadhaa, tulia kula bata jiachie kabisa
habari ndo hiyo
 
jaribu kupunguza hayo mawazo fanya yale unauwezo nayo mengine yanawakati wake usingizi muhimu

I think basi shida niliyo nayo ni ku-sort out between hayo mawazo ninayoweza kuyafanya na nisiyoweza kuyafanya for now, coz yote yanakuja tuuu. . .naona ndo chanzo kikubwa cha hali hii.
 
mkuu una tatizo la msongo mawazo au stress kwa "kikoloni"
unatakiwa kuwa na positive thinking, kisha ufahamu jambo lialokupa stress ili siyo uepukane nalo, bali utafunte njia nzuri ya kulikabili
punguza goals or objectives, uwe na zile unazoamini kwa dhati kuwa unaweza kuzitimiza maana unaweza ukawa unawaza kununua hummer wakati hata vitz tatizo. fanya mazoezi, kula vizuri, na pata muda wa kutosha kupumzika. naposema kupumzika namaanisha kupumzika, wakoloni wanasema vacation, tafuta sehemu tulivu nenda kwa siku kadhaa, tulia kula bata jiachie kabisa
habari ndo hiyo

In real sense, all my life I love 'real' hardworking and 'real' fun. . .sasa sijui why this happens, na imenitokea kipindi ambacho nahitajika kuplan vitu vingi na watu wanaoniamini sana, I think I fear letting them down ndo nahisi ni chanzo cha hii kitu and I dont know how to help it.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom