Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Daah Mungu amsaidie masikini apone tuKanisani kwenyewe Kashfa za Mapenzi ya Jinsia Moja imepiga Kambi!
Anahitaji Msaada wa Kisaikolojia tu na kitabibu
Daah Mungu amsaidie masikini apone tuKanisani kwenyewe Kashfa za Mapenzi ya Jinsia Moja imepiga Kambi!
Anahitaji Msaada wa Kisaikolojia tu na kitabibu
Kwanini unadhani anahitaji kuacha?Take it easy mkuu!!!
1. Tafuta mpenzi wa kike aliechangamka namwenye kukuweka bize kiakili, kimawazo na kimwili...
2. Acha kabisa kuangalia picha za ngono haswa za jinsia moja... Zinahamasisha sana
3. Shika sana dini mkuu! Mungu pekee ndo mwenye uwezo wa kukulinda na hili. Kama sio mtu wa kusali ni bora uanze. Atakuondolea hamu zote za ajabuajabu
4. Epuka mazingira yanayoamsha hisia juu ya wanaume wenzako.
Yaani umezaliwa in a wrong country kudhani kwamba kuna atakaekushauri ujaribu huo uoande wa pili.
Take it easy mkuu!!!
1. Tafuta mpenzi wa kike aliechangamka namwenye kukuweka bize kiakili, kimawazo na kimwili...
2. Acha kabisa kuangalia picha za ngono haswa za jinsia moja... Zinahamasisha sana
3. Shika sana dini mkuu! Mungu pekee ndo mwenye uwezo wa kukulinda na hili. Kama sio mtu wa kusali ni bora uanze. Atakuondolea hamu zote za ajabuajabu
4. Epuka mazingira yanayoamsha hisia juu ya wanaume wenzako.
Yaani umezaliwa in a wrong country kudhani kwamba kuna atakaekushauri ujaribu huo uoande wa pili.
Kuna wakati busara kama zako zinakuwa na maelezo potofu sana kwa jamii. Maana umeishia kulaumu na kutaka watu tujifunze jinsia na jinsi na sio wanawake na wanaume, kuna mambo ya msingi ambayo tunatakiwa kutlyajua kabla ya kuhalakisha mambo yasiyo ya kawaida kwa hoja za kawaida. Huyu anatamani wanaume na wanawake. Anatamani wanawake kufanya nao (Ngono) je tamaa ya wanaume ni Yeye afanyiwe ngono na mwamume mwingine kwa jinsi alivyomfanyia mwanamke au yeye amfanyia mwamume kama alivyomfanyia mwanamke.maana tamaa inayosemwa hapa ni ya ngono na sio vinginevyohakuna kitu kama KWANINI NIKO HIVI, AU IMETOKEA NINI NIKAWA HIVI. I think you should think of the positives about yourself!!
Hakuna mchawi, wala historia ya jinsi ulivyo, au ulivyotokea kuwa.
Nadhani hivyo ndivyo ulivyo, na ndivyo inavyokufanya wewe, na wewe pekee tofauti na wengine.
Wengi wanaotoa matusi na kukujeli ni watu duni na washamba wasio na ufahamu wowote wa masuala ya ujinsia, hisia, na mahusiano.
Matusi yao na ufahamu wao duni visikufanye ufifie moyo. I think you are beautiful.
kuna haja siku za mbeleni, "endapo" ufahamu wa watu ukaongezeka, tukafundisha wanafunzi wa shule za msingi na sekondari juu ya maswala ya jinsia na ujinsia.
Tusiishie kwenye uanamke na uanamume, tupanue maarifa na kujifunza abnormalities zinazotokea katika jinsia za watu.
Kutoa matusi na kujifanya kuwa jambo fulani halipo ama halitakiwi kuwapo ni sawa na mbuni anayedumbukiza kichwa mchangani na kukiacha kiwili wili nje.
I think you got to love yourself, and enjoy your life.
sifikirii kuwa homosexuality, bisexuality, au sexuality yoyeto nyingine ni ugonjwa unaohitaji tabibu.Daah Mungu amsaidie masikini apone tu
sidhani kama anahitaji " cure".Mkuu;
Yaani mimi sijamuelewa kabisa kabisa. Unamwambia amtafute mwanamke atakaye mweka bize kiakili. Mbona una maneno ya kiajabu?? Wewe ungemsaidiaje akikufikisha kwake halafu mnapovuana akakuomba umlalie tu mgongoni au umt.iiliie dole lako?? Ungemsaidiaje??
Mwambie wazi wazi kuwa, In this country, there is no cure for people like him. Hatujafika huko
Take it easy mkuu!!!
1. Tafuta mpenzi wa kike aliechangamka namwenye kukuweka bize kiakili, kimawazo na kimwili...
2. Acha kabisa kuangalia picha za ngono haswa za jinsia moja... Zinahamasisha sana
3. Shika sana dini mkuu! Mungu pekee ndo mwenye uwezo wa kukulinda na hili. Kama sio mtu wa kusali ni bora uanze. Atakuondolea hamu zote za ajabuajabu
4. Epuka mazingira yanayoamsha hisia juu ya wanaume wenzako.
Yaani umezaliwa in a wrong country kudhani kwamba kuna atakaekushauri ujaribu huo uoande wa pili.
Daah Mungu amsaidie masikini apone tu
Mimi sio homophobic!!!Kwanini unadhani anahitaji kuacha?
Ni kwasababu haifai, au kwasababu
watu wanadhani haifai?
Kudhani kutokufaa, haifanyi iwe kutokufaa.
Unadhani haifai kuwa bisexual?
Ivi unajua maana ya kua bisexual?Mkuu;
Yaani mimi sijamuelewa kabisa kabisa. Unamwambia amtafute mwanamke atakaye mweka bize kiakili. Mbona una maneno ya kiajabu?? Wewe ungemsaidiaje akikufikisha kwake halafu mnapovuana akakuomba umlalie tu mgongoni au umt.iiliie dole lako?? Ungemsaidiaje??
Mwambie wazi wazi kuwa, In this country, there is no cure for people like him. Hatujafika huko
Mkuu ni kwamba anaona unazunguka sana.....instead of goin strait kumshauri muhusika directly.....japo unavofanya ni sahihi step by step...Ni wapi nilipo bargain?
Au umekurupuka tu kutoka shimoni?
sidhani kama anahitaji " cure".
Infact, there is no cure.
Yupo katika stage ya ku-struggle na uhalisia wa hisia zake.
Anajaribu kupambana na hali yake ya kuvutiwa na watu wa jinsia yake.
Kuna mengi kuhusu hilo, huenda kutokana na mgandamizo hasi kutoka kwa watu wa karibu yake, hofu ya kugundulika, wasiwasi juu ya vitabu vya dini, mashaka nk.
Mwisho wake anageuka kichaa.
Hawezi kupona, isipokuwa kujipenda na kuikubali hali yake.
Unaruka ruka tu huku na kule kama kirikuu mwenye ujauzito!!
Mambo yasiyo ya kawaida ndio yapi, na tafsiri juu ya kawaida na isiyo kawaida umeiweka katika upeo upi??
Ili kitu kiwe cha kawaida kinapaswa kuwa na sifa zipi na / kitu kisichokuwa cha kawaida kinapaswa kuwa na mapungufu yapi?
Hata watu weusi wanafanywa kujisikia sio wa kawaida katika nchi za watu weupe, kwahiyo ni kweli wao si wa kawaida??
kuwa kawaida ndio kupi?
Hili jambo limedharaulika kabisa kwenye jamii zetu... Yaani tumetoa uwezekano wa mtu kua na abnomalities zinazooelekea hizo hisia. Yaani hormonal imbalance is real jamani... Sio kua ndo tunachochea same sex stuff ila ndo hivyooo!hakuna kitu kama KWANINI NIKO HIVI, AU IMETOKEA NINI NIKAWA HIVI. I think you should think of the positives about yourself!!
Hakuna mchawi, wala historia ya jinsi ulivyo, au ulivyotokea kuwa.
Nadhani hivyo ndivyo ulivyo, na ndivyo inavyokufanya wewe, na wewe pekee tofauti na wengine.
Wengi wanaotoa matusi na kukujeli ni watu duni na washamba wasio na ufahamu wowote wa masuala ya ujinsia, hisia, na mahusiano.
Matusi yao na ufahamu wao duni visikufanye ufifie moyo. I think you are beautiful.
kuna haja siku za mbeleni, "endapo" ufahamu wa watu ukaongezeka, tukafundisha wanafunzi wa shule za msingi na sekondari juu ya maswala ya jinsia na ujinsia.
Tusiishie kwenye uanamke na uanamume, tupanue maarifa na kujifunza abnormalities zinazotokea katika jinsia za watu.
Kutoa matusi na kujifanya kuwa jambo fulani halipo ama halitakiwi kuwapo ni sawa na mbuni anayedumbukiza kichwa mchangani na kukiacha kiwili wili nje.
I think you got to love yourself, and enjoy your life.
Huwaga una comment kwa facts sana, watu wengine hawajuagi kuwa ngenye huishinda akili.Take it easy mkuu!!!
1. Tafuta mpenzi wa kike aliechangamka namwenye kukuweka bize kiakili, kimawazo na kimwili...
2. Acha kabisa kuangalia picha za ngono haswa za jinsia moja... Zinahamasisha sana
3. Shika sana dini mkuu! Mungu pekee ndo mwenye uwezo wa kukulinda na hili. Kama sio mtu wa kusali ni bora uanze. Atakuondolea hamu zote za ajabuajabu
4. Epuka mazingira yanayoamsha hisia juu ya wanaume wenzako.
Yaani umezaliwa in a wrong country kudhani kwamba kuna atakaekushauri ujaribu huo uoande wa pili.
Chakula cha mbuzi ni majani, ukimpikia nyama iliyokaangwa kwa iliki na karafuu kutoka dubai hatakula hata kama anataka kukata roho kwa njaa.Mimi sio homophobic!!!
Ila kwa jamii hii kua homosexual ni kujitesa bureee! Utaishi kisiri sana na ukijulikana utadharaulika. Na vijana wengi waliokua wakiona mambo haya ni kawaida kupata hizo hisia ila haimaanishi ndo uipe nafasi, inakua ni phase tu...
Kwanini ujitese na yote hayo wakati una uwezo wa kuenjoy jinsia wanawake?
Kutokubali kuwa jambo lipo, au kutakiwa kuwapo, halifanyi lisiwepo.Hili jambo limedharaulika kabisa kwenye jamii zetu... Yaani tumetoa uwezekano wa mtu kua na abnomalities zinazooelekea hizo hisia. Yaani hormonal imbalance is real jamani... Sio kua ndo tunachochea same sex stuff ila ndo hivyooo!
Ila sio kila hisia ni ya kuipa nafasi kama unataka kuishi kwa amani katika jamii.
Ok manake uki act as a women unatafuta njemba anakushikisha vidore vya miguu afu uki act as a men unatafuta mrembo unakula mzigo.yaani mkuu mwanamke na mwanaume kwangu naona sawa tu kwenye sex