Bernie Fikiri
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 288
- 197
Na ajiandae kupoteza wateja pia. Maana kuna wengine tukiona hivyo hatusogei hata kama unauza makinikia kwa bei ya kutupwaMkuu acha huo mlango wazi usiufunge,tafuta damu na manyoya weka hapo mlangoni...wakija wataacha wenyewe kwa huo mkwara