Aisee uligharamika sanaNdio mkuu maana hapo ni kama nlitoa 470,000/- malipo ya passport yalikuwa 150,000/- 130k ya passport 20k ya fomu jumla ndio hiyo 150k ila ilipidi nitoe 20k ya mwanasheria sjui kuna kuapa mahakamani (ila wanatoa hapo hapo hakuna kufika mahakamani) maanake kwenye hiyo 470k malipo halali ilikuwa 150k ambayo ndio ina risiti hiyo 320k haina risiti
Passport ilipofika yule askari alinicheki mwenyewe nikachukue
Huyu alipigwa laki3 nzima nje ya malipo ya passport 😀Duh! Milioni? Mbona kubwa sana mm nimepata passport yangu ndani ya wiki na siku tatu kwa Tsh. 450,000/- tu
Hizo 20 za form ni lugha tu hakunaga kulipia form wala mwanasheria😀😀😀 kama una details zote zinazohitajika ukaambatanisha hiyo hela hutoi, unalipia elfu 20 tu kwa uhamiaji wilaya, alafu laki na 30 uhamiaji mkoa bila kutoa pesa yoote hiyo dah! Hapo ungefanya mwenyewe ungepata experience nzuri kiasi kwamba hata watu wako wa karibu wakihitaji unawasaidia bila gharama za vishoka, ukatoa pesa ukapata passport ila sasa hata hujui process zikoje! Watanzania tuwege na uthubutu wa kutamani kujua mamboNdio mkuu maana hapo ni kama nlitoa 470,000/- malipo ya passport yalikuwa 150,000/- 130k ya passport 20k ya fomu jumla ndio hiyo 150k ila ilipidi nitoe 20k ya mwanasheria sjui kuna kuapa mahakamani (ila wanatoa hapo hapo hakuna kufika mahakamani) maanake kwenye hiyo 470k malipo halali ilikuwa 150k ambayo ndio ina risiti hiyo 320k haina risiti
Passport ilipofika yule askari alinicheki mwenyewe nikachukue
Andaa vielelezo vyote, barua ya huko ulipopata kazi. Ukiwa na huo uthibitisho wa barua siku 3 ni nyingi kupata passport.Habari wakuu nimepata mchongo wa kazi nje ya nchi, nimepewa taratibu za kupata passport na inachukua muda wa mwezi na week kutoka, naombeni msaada kama kuna njia naweza kutumia kuipata kwa siku 7. Kila kitu kinachohitajika ninacho.
Natanguliza shukran🙏
Acha tumsaidie sisi wazoefu
Watu kutojielewaHuyu alipigwa laki3 nzima nje ya malipo ya passport 😀
Chukua hiyoooSijawahi honga hela kupata passports
Hapo ni ya zamani na mpya ya electronics.
Hiyo mpya hata sijawahi safiria nimeichukua tu baada ya za zamani kubadilishwa.
kama ni mtu wa kujielewa passport unatakiwa uwe nayo sio ya kuitafuta ukipata safari
Watz wengi hawana uthubutu hasa kwenye mambo ambayo wanaona hizi vyombo vya ulinzi wameshika dah waoga mnoo wanatembeleaga tu zile rumours ambazo pia hazitoki kwa watu sahihi wanaziishi rumours tu.Watu kutojielewa
Kuto kujuwa haki yako ya msingi
Na uwoga
Ova
Mkuu kwema?Wakuu kwema ? Asanteni kwa mlionipa Muongozo nilipata passport kwa gharama halali kabisa 150,000/=