Msaada: Nahitaji passport ya kusafiria

Msaada: Nahitaji passport ya kusafiria

Ndio mkuu maana hapo ni kama nlitoa 470,000/- malipo ya passport yalikuwa 150,000/- 130k ya passport 20k ya fomu jumla ndio hiyo 150k ila ilipidi nitoe 20k ya mwanasheria sjui kuna kuapa mahakamani (ila wanatoa hapo hapo hakuna kufika mahakamani) maanake kwenye hiyo 470k malipo halali ilikuwa 150k ambayo ndio ina risiti hiyo 320k haina risiti
Passport ilipofika yule askari alinicheki mwenyewe nikachukue
Aisee uligharamika sana
 
Ndio mkuu maana hapo ni kama nlitoa 470,000/- malipo ya passport yalikuwa 150,000/- 130k ya passport 20k ya fomu jumla ndio hiyo 150k ila ilipidi nitoe 20k ya mwanasheria sjui kuna kuapa mahakamani (ila wanatoa hapo hapo hakuna kufika mahakamani) maanake kwenye hiyo 470k malipo halali ilikuwa 150k ambayo ndio ina risiti hiyo 320k haina risiti
Passport ilipofika yule askari alinicheki mwenyewe nikachukue
Hizo 20 za form ni lugha tu hakunaga kulipia form wala mwanasheria😀😀😀 kama una details zote zinazohitajika ukaambatanisha hiyo hela hutoi, unalipia elfu 20 tu kwa uhamiaji wilaya, alafu laki na 30 uhamiaji mkoa bila kutoa pesa yoote hiyo dah! Hapo ungefanya mwenyewe ungepata experience nzuri kiasi kwamba hata watu wako wa karibu wakihitaji unawasaidia bila gharama za vishoka, ukatoa pesa ukapata passport ila sasa hata hujui process zikoje! Watanzania tuwege na uthubutu wa kutamani kujua mambo
 
Habari wakuu nimepata mchongo wa kazi nje ya nchi, nimepewa taratibu za kupata passport na inachukua muda wa mwezi na week kutoka, naombeni msaada kama kuna njia naweza kutumia kuipata kwa siku 7. Kila kitu kinachohitajika ninacho.

Natanguliza shukran🙏
Andaa vielelezo vyote, barua ya huko ulipopata kazi. Ukiwa na huo uthibitisho wa barua siku 3 ni nyingi kupata passport.
Mimi nilipata mapema pia sababu ya shule
 
Sijawahi honga hela kupata passports
Hapo ni ya zamani na mpya ya electronics.
Hiyo mpya hata sijawahi safiria nimeichukua tu baada ya za zamani kubadilishwa.
kama ni mtu wa kujielewa passport unatakiwa uwe nayo sio ya kuitafuta ukipata safari
 

Attachments

  • 20250412_031518.jpg
    20250412_031518.jpg
    1 MB · Views: 30
Sijawahi honga hela kupata passports
Hapo ni ya zamani na mpya ya electronics.
Hiyo mpya hata sijawahi safiria nimeichukua tu baada ya za zamani kubadilishwa.
kama ni mtu wa kujielewa passport unatakiwa uwe nayo sio ya kuitafuta ukipata safari
Chukua hiyooo


Ova
 

Attachments

  • Screenshot_20250421_031110_Gallery.jpg
    Screenshot_20250421_031110_Gallery.jpg
    193.8 KB · Views: 24
Watu kutojielewa
Kuto kujuwa haki yako ya msingi
Na uwoga

Ova
Watz wengi hawana uthubutu hasa kwenye mambo ambayo wanaona hizi vyombo vya ulinzi wameshika dah waoga mnoo wanatembeleaga tu zile rumours ambazo pia hazitoki kwa watu sahihi wanaziishi rumours tu.
 
Wakuu kwema ? Asanteni kwa mlionipa Muongozo nilipata passport kwa gharama halali kabisa 150,000/=
Mkuu kwema?
Nimeona na wewe ulifanyia mchakato Moshi. Passport uliipata baada ya mda gani au ulitumia maarifa yapi kuharakisha mchakato?

Immigration Moshi siwaelewi kabisa, nilimaliza kila kitu (picha + fingerprint) toka mwezi wa 6 ila hadi leo passport yangu haijatoka na nina safari tarehe 18.
 
Back
Top Bottom