Msaada: Nahitaji mayai ya kuku

Msaada: Nahitaji mayai ya kuku

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,785
Habari waungwana..


Kama heading inavyojieleza.
Ninahitaji mtu wa kuweza kunipatia mayai ya kuku kuanzia tray 30 ambazo ni mahitaji ya siku moja na kuendelea. Nipo tiyari kuchukua kiasi kikubwa chochote kitakachopatikana kadri ya maelewano yetu.

Only serious suppliers tuwasiliane!!
 
Habari waungwana..


Kama heading inavyojieleza.
Ninahitaji mtu wa kuweza kunipatia mayai ya kuku kuanzia tray 30 ambazo ni mahitaji ya siku moja na kuendelea. Nipo tiyari kuchukua kiasi kikubwa chochote kitakachopatikana kadri ya maelewano yetu.

Only serious suppliers tuwasiliane!!
Bado utakua unahitaji mayai ndugu?
 
Habari waungwana..


Kama heading inavyojieleza.
Ninahitaji mtu wa kuweza kunipatia mayai ya kuku kuanzia tray 30 ambazo ni mahitaji ya siku moja na kuendelea. Nipo tiyari kuchukua kiasi kikubwa chochote kitakachopatikana kadri ya maelewano yetu.

Only serious suppliers tuwasiliane!!
Weka Bei
 
Duhh,aisee
Hii inaonyesha kwamba watu ni walalmikaji saana na sio wabunifu
Jamaa anataka Mayai Idadi kubwa yaani hakuna supplier wa uhakika kila mmoja anajiuma uma.
Na hii inaonyesha hata wafugaji nao sio makini pia kwenye suala la Masoko.
Fursa hiyoo,wakiwekeza wachina tunapiga zogoo eeee
 
Duhh,aisee
Hii inaonyesha kwamba watu ni walalmikaji saana na sio wabunifu
Jamaa anataka Mayai Idadi kubwa yaani hakuna supplier wa uhakika kila mmoja anajiuma uma.
Na hii inaonyesha hata wafugaji nao sio makini pia kwenye suala la Masoko.
Fursa hiyoo,wakiwekeza wachina tunapiga zogoo eeee
Tatizo ni bei ndo watu wanapishana tatizo sio idadi ya trays!
 
Mie nauza mayai lakini kwa 7000 kwa tray unaweza kupata hata kwa tray 500 wewe tu no 0752060744
 
Back
Top Bottom