Spliffcharm
Senior Member
- Jun 21, 2020
- 124
- 344
Wana JF kwema?
Nahitaji supplier wa Mayai ya Kienyeji pure kabisa ya jumla.
Offer price ni 12,000Tshs kwa trei moja.
Naweza kuchukua mpaka tray mia +.
Napatikana Dar es salaam.
Aliye serious anicheck Inbox tufanye biashara.
Ahsante.
Nahitaji supplier wa Mayai ya Kienyeji pure kabisa ya jumla.
Offer price ni 12,000Tshs kwa trei moja.
Naweza kuchukua mpaka tray mia +.
Napatikana Dar es salaam.
Aliye serious anicheck Inbox tufanye biashara.
Ahsante.