Usukumani hiyoMinza ni zuri mnoo 😍
Viva😘😘Tusipangiane cha kuandika.
Viva JPM
Kabila gani mkuuRejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k
Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,
Karibuni wadau.
TO hell both of youTusipangiane cha kuandika.
Viva JPM
TO hell both of you
TO hell both of you
OLichifelaNyankundo
🤣🤣uvimbe upasukeUngemtajia tu "zulu" my friend😅
EsuvatYa kimaasai ni haya:
Ole Sendeka
Ole midimu sirkon
Medutyeki
Metuyani
Loibanguti
Saitabau
Saimalye
Saiguran
Sikitu
Manake Anayependa abundance. LINATUMIWA kwa wanaumeLoibanguti nimeilewa vp inamaana gani na jinsia gan wanatumia
Ni jina zuri Sana kwa jinsi keEsuvat