Ndugu wana Jf Nahitaji msaada wenu jinsi ya kuunganisha Smart tv na Simu, yaani ninachokifanya au ninachoangalia kwenye simu kionekane kwenye Tv (Mirrow view).
Simu yangu haina Screen cast or smart view kwahiyo nashindwa ku Connect.
Ila nasikia unaweza kutumia njia ya Wi-Fi so kwa anayefahamu hii njia anielekeze maujanja nami nitambe.
Natanguliza Shukrani 🤝
Simu yangu haina Screen cast or smart view kwahiyo nashindwa ku Connect.
Ila nasikia unaweza kutumia njia ya Wi-Fi so kwa anayefahamu hii njia anielekeze maujanja nami nitambe.
Natanguliza Shukrani 🤝