Habari zenu jamani, mimi ni mwanamke mwenye watoto 3 na mume wa ndoa! ndoa yetu namshukuru Mungu anatusaidia tunaishi vizuri kwa maelewano.
Shida yangu ni kuwa mume wangu ni kabila tofauti na mimi, sasa yeye anapenda kweli kuongea kilugha na ndugu zake either kwa simu au hata wakija nyumbani kutusalimia!
Yeye haoni kama ni shida na nalielewa hilo,tatizo ni kwamba wakati mwingine natamani kusikia wanachokiongea ila ndo hivyo nashindwa.Kumuambia nahisi kama namnyima raha.
Ninachoomba ni msaada wa jinsi ya kumuapproach kumweleza natamani na mimi nichangie katika maongezi bila yeye kufikiri vibaya maana ni mtu anapenda kuongea sana kikwao yani.
Shida yangu ni kuwa mume wangu ni kabila tofauti na mimi, sasa yeye anapenda kweli kuongea kilugha na ndugu zake either kwa simu au hata wakija nyumbani kutusalimia!
Yeye haoni kama ni shida na nalielewa hilo,tatizo ni kwamba wakati mwingine natamani kusikia wanachokiongea ila ndo hivyo nashindwa.Kumuambia nahisi kama namnyima raha.
Ninachoomba ni msaada wa jinsi ya kumuapproach kumweleza natamani na mimi nichangie katika maongezi bila yeye kufikiri vibaya maana ni mtu anapenda kuongea sana kikwao yani.