Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 859
- 1,012
Nimejaribu kuingia mtandaoni kudownload flash file ya TIGO smart kitoch kila inayokuja inakuja na password unapotaka kui extract hivo kama una faili isiyo na password nipatie link
Mkuu kwenye hiyo web uliyodownload hawajaweka password? Chunguza vizuriNimejaribu kuingia mtandaoni kudownload flash file ya TIGO smart kitoch kila inayokuja inakuja na password unapotaka kui extract hivo kama una faili isiyo na password nipatie link
Hakuna web yeyote iliyoweka password nimejaribu zaidi na zaidi,. Ila nyingi zinataka utume ela kwenye simu ndo wakutumie passwordMkuu kwenye hiyo web uliyodownload hawajaweka password? Chunguza vizuri
simple, tuma pesa upate passwordHakuna web yeyote iliyoweka password nimejaribu zaidi na zaidi,. Ila nyingi zinataka utume ela kwenye simu ndo wakutumie password
Kwanini unataka flash file yake,? Simu ina shida gani?Nimejaribu kuingia mtandaoni kudownload flash file ya TIGO smart kitoch kila inayokuja inakuja na password unapotaka kui extract hivo kama una faili isiyo na password nipatie link
Nifanyie msaada kiongoziNinalo..
Ila sina mb ningekurushia telegram
Tsmart fp789l t-vo2....
Inaganda tu, inaishishia kwenye logo ya TIGOKwanini unataka flash file yake,? Simu ina shida gani?
Kwani smartkitoch zinatofautiana?Weka model ya hiyo simu yako
Vunja password hizo, password za hivyo navunja na unatoa mzigo simple bro acha uzembe.Nimejaribu kuingia mtandaoni kudownload flash file ya TIGO smart kitoch kila inayokuja inakuja na password unapotaka kui extract hivo kama una faili isiyo na password nipatie link
Yes...angalia yako nyuma ni model ganKwani smartkitoch zinatofautiana?
Vunja password hizo, password za hivyo navunja na unatoa mzigo simple bro acha uzembe.
Weka file lako au link hapa, uone!Kama itawezekana. Nitatoa hela kununua tool yako. Tuonyeshe mfano
jamaa akikutumia telegram na mimi naomba tafadhariNifanyie msaada kiongozi
Najaribu kuweka file hapa linanigomea. Linaniandikia Low memory.......Weka file lako au link hapa, uone!
Hii si DA file?Najaribu kuweka file hapa linanigomea. Linaniandikia Low memory.......
Ni file la Kb
INFINIX SMART 5 X657 DA FILE [jnt_mobile_software]
MediaFire is a simple to use free service that lets you put all your photos, documents, music, and video in a single place so you can access them anywhere and share them everywhere.www.mediafire.com
Hii si DA file?