Ramlis
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 597
- 494
Kwa fundi gani ulienda akashindwa mkuu, sina file ya hizo samrt vitochi ila zote za kuganda naziponesha ndani ya dk 2 unaanza kuwasiliana. Ilimradi isiwe na shida ya emmc tu.Tafuta mtu wa tigo akuuzie hivi visimu vyao huwa vnazngua sn vnaishia kwny logo ukiwasha mafund wa kitaa hawawez ila ukipeleka tgo dk 10 tu tyr na ni bure kbs kwaiyo kama unataka file hiyo mtafute mtu wa tgo