MSAADA:Nahisi nimetapeliwa TV mpya

Hvi hamuwezi kutumia lugha nzuri, kinachokufurahisha hapo nini, roho za kichawi sana hizi, unashadadia nini wakati mwenzako kapata tatizo, mngekuwa vijijini watu wa aina hii ni wangekuwa wachawi tu
Sawa
 
Kuna mtu humu aliweka tangazo anauza smart tv niaamchek akaniambia samsung 43 inches smart TV mpya na box lake eti 630,000 nilishtuka sana.
Nikajua huu ni utapeli na eti unalipia 10% then ukiletewa utamalizia
Nikajiuliza hizo tv anazitoa wapi maana hata zinakotengenezwa haziuzwi bei hyo.
Ogopa vitu cheap
 

Asante sana, wachache wanaelewa.
 
Pole mkuu...hiyo pesa haitamsaidia chochote zaidi ya kumzidishia dhiki..lakini FIGHT FOR WHAT IS YOURS UNTIL THE END..!!
 
Nenda hospitali haraka, inaonekana una matatizo ya kichwa maana umeibiwa kizembe sana mkuu.

Nadhan una malaria kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…