kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,820
- Thread starter
- #21
Yap naweza kukubaliana nawewe katika hili,ila hapo ndo malipo na udhaifu wangu na nimekiri mkuu,naomba basi uniambie sasa how to overcomehuna moyo wa kiume wewe,bado mvulana, yani hakuna kitu simple kama kuvunja uhusiano, eti kisa anatoa machozi ndio usimuache.? wangapi wametoa kabla yake na wakaachika tu.?
wewe bado mvulana sana,machozi hayaui,naona bado unampenda wewe endelea na jimama lako tu.
mapenzi ni kama ushuzi ukijilazimisha utaarisha.[emoji41]