Sylivester kassa
Member
- Jul 10, 2015
- 38
- 1
Ningeomba nielekezwe jinsi ya kutoa ela yangu ya AdSense endapo inakuwa tiari kwa ajili ya Kunifikia mimi ni njia gani zinatumika maana nimejiunga AdSense Karibu miez miwili imepita na sijapata malipo yangu,Unaweza weka namba yako hapa nikakutafuta Mimi ,Asante