ginyisi
Senior Member
- Apr 6, 2023
- 148
- 261
Jamani wadau naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu,
Mimi Kuna rafiki yangu alinifundisha namna ya kujiunga na VPN (virtual private network) sasa nikawa naitumia kwa muda wa miezi kadhaa nikaamini ni kweli ndipo nikawashirikisha watu nikawaunganisha kwa malipo kidogo tu yaan 30k per 6monthy au mwezi mmoja kwa 10k.
Ndugu zangu nimepiga hela za bure nyingi sana, sasa apa nna siku 5 VPN zote hazifanyi kazi yaan nmechanganyikiwa simu zinapigwa kila mahali na kila dakika namm nmeshachoka kuwadanganya na Sina msaada wowote kwakuwa ata alienifundisha anasema waga wanakata kwa muda na kurudisha lakini hii imekuwa too late, hivo naombeni msaada kwa anaejua namna ya kutatua changamoto hii tafadhali!
Mbaya zaidi ata wafanyakazi wenzangu nao nmekula hela, mabosi zangu ni wahindi nao nmekula hela. lengo langu halikuwa ni utapeli lakini sasa inaenda kutafsirika kuwa Mimi ni tapeli! naomba ushauri wako mkuu, Asante
Mimi Kuna rafiki yangu alinifundisha namna ya kujiunga na VPN (virtual private network) sasa nikawa naitumia kwa muda wa miezi kadhaa nikaamini ni kweli ndipo nikawashirikisha watu nikawaunganisha kwa malipo kidogo tu yaan 30k per 6monthy au mwezi mmoja kwa 10k.
Ndugu zangu nimepiga hela za bure nyingi sana, sasa apa nna siku 5 VPN zote hazifanyi kazi yaan nmechanganyikiwa simu zinapigwa kila mahali na kila dakika namm nmeshachoka kuwadanganya na Sina msaada wowote kwakuwa ata alienifundisha anasema waga wanakata kwa muda na kurudisha lakini hii imekuwa too late, hivo naombeni msaada kwa anaejua namna ya kutatua changamoto hii tafadhali!
Mbaya zaidi ata wafanyakazi wenzangu nao nmekula hela, mabosi zangu ni wahindi nao nmekula hela. lengo langu halikuwa ni utapeli lakini sasa inaenda kutafsirika kuwa Mimi ni tapeli! naomba ushauri wako mkuu, Asante