Earn the one
Member
- Aug 17, 2017
- 84
- 102
Habari za uzima ndugu zangu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Dhumuni langu la kufungua uzi huu nilikuwa naomba msaada kwa yeyote mwenyewe Kuifahamu hii kampuni inaitwa XBASIS COMPANY LIMITED maana mimi niliiyona kupitia instagram page yao nikakutana na matangazo kama mawili ya kazi nchini Dubai na Moldova, kwa maelezo yao hawa ni recruitment agencies na ofisi zao ziko mabibo makutano.
Sasa nilikuwa nataka nianze process zao ili na mimi niweze kwenda huko kwasababu hii ni ndoto yangu ya muda mrefu sana kwenda kufanya kazi nchi za watu, kwa maana wanajali sana wananchi wao hapa nchini kwetu nishakuchoka na maisha ya hapa kazi unafanya lakini unapata hela ya kula tu hata kuwasaidia wazazi inakuwa changamoto hapa sitaki kuongea sana.
Asante sana, natumaini nitapata majibu yakuridhisha sana kutoka kwenu pia kwa yeyote ambaye anajua agencies yeyote nyingne naomba usisite kuweka contacts zao hapa ili tuweze kuwasaidia na wengine wenye ndoto kama zangu pia niweka picha yenye mawasiliano ya hawa Xbasis Company Limited.
Hii ndo namba yao +255 714 334 497 Ipo Whatsapp
Naomba kurudisha kwenu sasa wana jamiiforum.
NB: Passport ya kusafiria tayari ninayo, Asante.
Dhumuni langu la kufungua uzi huu nilikuwa naomba msaada kwa yeyote mwenyewe Kuifahamu hii kampuni inaitwa XBASIS COMPANY LIMITED maana mimi niliiyona kupitia instagram page yao nikakutana na matangazo kama mawili ya kazi nchini Dubai na Moldova, kwa maelezo yao hawa ni recruitment agencies na ofisi zao ziko mabibo makutano.
Sasa nilikuwa nataka nianze process zao ili na mimi niweze kwenda huko kwasababu hii ni ndoto yangu ya muda mrefu sana kwenda kufanya kazi nchi za watu, kwa maana wanajali sana wananchi wao hapa nchini kwetu nishakuchoka na maisha ya hapa kazi unafanya lakini unapata hela ya kula tu hata kuwasaidia wazazi inakuwa changamoto hapa sitaki kuongea sana.
Asante sana, natumaini nitapata majibu yakuridhisha sana kutoka kwenu pia kwa yeyote ambaye anajua agencies yeyote nyingne naomba usisite kuweka contacts zao hapa ili tuweze kuwasaidia na wengine wenye ndoto kama zangu pia niweka picha yenye mawasiliano ya hawa Xbasis Company Limited.
Hii ndo namba yao +255 714 334 497 Ipo Whatsapp
Naomba kurudisha kwenu sasa wana jamiiforum.
NB: Passport ya kusafiria tayari ninayo, Asante.