Jamani msaada.
Nilijiunga na bima ya maisha ya Sh.3,000,000 na Shirika la Bima la Taifa (NIC) tangu mwaka 2012 kwa makubaliano ya kulipwa 20% kila baada ya miaka 3.
Lakini mpaka sasa ni miaka 8 sijapata chochote nimefuatilia ofisi za bima Sumbawanga lakini kila siku naambiwa subiri, nimewapigia simu makao makuu lakini simu yangu haipokelewi, nimetuma Email mara kadhaa lakini hakuna majibu yoyote.
Kwa anayejua namna nyingine ya kuwasiliana nao naomba anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijiunga na bima ya maisha ya Sh.3,000,000 na Shirika la Bima la Taifa (NIC) tangu mwaka 2012 kwa makubaliano ya kulipwa 20% kila baada ya miaka 3.
Lakini mpaka sasa ni miaka 8 sijapata chochote nimefuatilia ofisi za bima Sumbawanga lakini kila siku naambiwa subiri, nimewapigia simu makao makuu lakini simu yangu haipokelewi, nimetuma Email mara kadhaa lakini hakuna majibu yoyote.
Kwa anayejua namna nyingine ya kuwasiliana nao naomba anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app