Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,265
- 3,177
Hela atalipa baada ya kupata kazi. Unawezaje kumchaji mtu asiye na kazi laki sita?Kazi zipo we tafuta passport ila yule agent anataka hela kama laki 6 hivi utaangalia kama mtawezana nae kuna za sheli cashier na KFC store