X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,700
- 14,768
- Thread starter
- #521
Kaka umefika uarabuni umebadili na jina kabisa, siyo Prince tena sasa ni Iddy
Nimekutana na ma prince wa ukweli huku...nimeona aibu 🤣🤣🤣
Kaka umefika uarabuni umebadili na jina kabisa, siyo Prince tena sasa ni Iddy
MimiWengine tunaotaka kwenda Dubai na Canada tujuane.
vipi ndugu hiyo kampuni mbaka leo inapeleka watu?Kama bado Upo interested kwenda kufanya kazi abroad,nenda Mabibo makutano Kuna jengo linaitwa Georgious house ni first floor wanapeleka watu Qatar kwa nafasi za cleaner
Mpk sasa wamepeleka watu zaidi ya 60 kwa mwezi December na January....gharama zao ni makubaliano ya kuwalipa ukishaingia kazini
Kampuni Inaitwa Xbas recruitment
Wasiliana nao kupitia #0714334497
Utanipa feedback
Pia kampuni ya Gardaworld imeanza kujiajiri upya kama Utakuwa tayari kurudi kule
Hapana hiyo kampuni ilizingua, ila kwa sasa kuna kampuni nyingine 2 hapo DSM zina kazi za kutosha za Dubaivipi ndugu hiyo kampuni mbaka leo inapeleka watu?
Mkuu nipasie na mimi hiyo 👆👆Hapana hiyo kampuni ilizingua, ila kwa sasa kuna kampuni nyingine 2 hapo DSM zina kazi za kutosha za Dubai
Uje PM nikuelekeze hizo kampuni
NIMEKUJA PM MKUUHapana hiyo kampuni ilizingua, ila kwa sasa kuna kampuni nyingine 2 hapo DSM zina kazi za kutosha za Dubai
Uje PM nikuelekeze hizo kampuni
Yeah mpk leo inaleta watu Dubai,lakini uwe fee yao wanayoihitajivipi ndugu hiyo kampuni mbaka leo inapeleka watu?
Nenda magomeni mapipa kuna kampuni inaitwa Sasy solution inaleta watu Dubai kila siku,ila uwe na fee yao tuMkuu nipasie na mimi hiyo 👆👆
Fee ni shngp mkuu?Nenda magomeni mapipa kuna kampuni inaitwa Sasy solution inaleta watu Dubai kila siku,ila uwe na fee yao tu
SHUKRANI KIONGOZI NGOJA NIFUATILIEYeah mpk leo inaleta watu Dubai,lakini uwe fee yao wanayoihitaji
Uwe na $1000Fee ni shngp mkuu?
Nenda magomeni mapipa kuna kampuni inaitwa Sasy solution inaleta watu Dubai kila siku,ila uwe na fee yao tu
Ndio mkuuWewe upo Dubai?
SawaNenda magomeni mapipa kuna kampuni inaitwa Sasy solution inaleta watu Dubai kila siku,ila uwe na fee yao tu
Mimi sina connection na ajira ila nina connection na work visa na permanent residency ukifika kazi unajichsnganya na wenyeji wako watakuseidia kupataany one here