Habari wanajanvi,
Samahani kama uzi upo sahihi ama la mnivumilie kwa uandishi naweza kukokesea kutokana na hali niliyonayo kwa sasa sipo sawa.
Nina watoto mapacha wawili wakiume na kike wote wanasoma shule moja boarding ni yakanisa wapo darasa la pili wote.
Juzi tulipigiwa simu shule mtoto kaanguka kapelekwa hospital yupo hoi haongei, hawezi kukaa, hawezi kufanya chochote, wamechukua vipimo hakuna ugonjwa wa aina yoyote ule, nikachukua maamuzi kumpeleka hospital kubwa lakini bado hawaoni ugonjwa, zaidi wamesema ana kifua kikuu.
Kidogo maendeleo yake sio mabaya, kwa sasa anaweza kula chakula, ukimuongelesha anasikia kwa kutikisa kichwa, lakini hawezi kujibu akijaribu kuongea hawezi ulimi unakua mzito.
Kesho nimeomba waturuhusu nimpeleke kwenye maombi maana naona sio hari ya kawaida, dada yake miezi mitatu iliyopita alikutwa na kifua kikuu, leo kaka yake nae kakutwa na kifua kikuu kutoka shule, haya magonjwa naona ni mazito sana kwao.
Naomba kama kuna mtu aliwai kukutana na shida kama hii naomba mawazo uliwezaje kutatua hii changamoto?
Kesho mungu akisaidia nitampeleka kwenye maombi..
Samahani kama uzi upo sahihi ama la mnivumilie kwa uandishi naweza kukokesea kutokana na hali niliyonayo kwa sasa sipo sawa.
Nina watoto mapacha wawili wakiume na kike wote wanasoma shule moja boarding ni yakanisa wapo darasa la pili wote.
Juzi tulipigiwa simu shule mtoto kaanguka kapelekwa hospital yupo hoi haongei, hawezi kukaa, hawezi kufanya chochote, wamechukua vipimo hakuna ugonjwa wa aina yoyote ule, nikachukua maamuzi kumpeleka hospital kubwa lakini bado hawaoni ugonjwa, zaidi wamesema ana kifua kikuu.
Kidogo maendeleo yake sio mabaya, kwa sasa anaweza kula chakula, ukimuongelesha anasikia kwa kutikisa kichwa, lakini hawezi kujibu akijaribu kuongea hawezi ulimi unakua mzito.
Kesho nimeomba waturuhusu nimpeleke kwenye maombi maana naona sio hari ya kawaida, dada yake miezi mitatu iliyopita alikutwa na kifua kikuu, leo kaka yake nae kakutwa na kifua kikuu kutoka shule, haya magonjwa naona ni mazito sana kwao.
Naomba kama kuna mtu aliwai kukutana na shida kama hii naomba mawazo uliwezaje kutatua hii changamoto?
Kesho mungu akisaidia nitampeleka kwenye maombi..